• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Ujasiriamali na utoaji mikopo

Huduma zinazotolewa na Idara ya Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Kinondoni ni kama ifuatavyo:

DAWATI LA MAAFA

  • Kuratibu shughuli za Maafa ngazi ya Manispaa na kushauri hatua za kuzuia,kujiandaa,kukabili na kurudisha hali.
  • Kutambua maafa yanayoathiri Manispaa.
  • Kushiriki katika Tafiti mbalimbali zinazohusu maswala ya Maafa,zikiwemo tathmini za  hali ya chakula katika Manispaa na wadau wengine.
  • Kutoa elimu kwa Umma juu ya masuala ya Afya.
  • Kuwa kiungo (bridge) kati Mkoa na Mamlaka nyingine kuhusu masuala ya Maafa.
  • Kushiriki vikao vya Kamati ya Maafa vya Manispaa.
  • Kuwasilisha taarifa za Maafa kwa Mamlaka nyingine (OWMN, TAMISEMI,SEKTA  n.k)

MRATIBU WA VIKUNDI VYA UCHUMI VYA WANAWAKE NA VIJANA.

  • Kupunguza umaskini ka ti ya vijana na wanawake wanaoishi katika mazingira hayo.
  • Kukuza vikundi vya ujasiriamali
  • Kuumba ajira kwa wanawake na vijana
  • Kutoa mikopo nafuu kwa wanawake na vijana.

WANAWAKE NA VIJANA

  • Kuwawezesha wanawake na vijana kupata mikopo kupitia mfuka wa wanawake na vijana.
  • Kuweza kutenga Fedha kwa ajili ya mfuko wa wanawake na vijana jumla ya Tsh 4,516,351,148 zimetengwa na kunufaisha wanawake na vijana.
  • Kuwezesha watu 11,613 kujiajiri ambapi wanawake ni 8,757 na vijana ni 1,270 walemavu 326, na watu wengine binafsi ni 1,250. Waliweza kupata mikopo ya Masharti.
  • Kuwezesha vikundi 16 vya akina mama wajasiriamali kushiriki maonesho ya Kimataifa yanayofanyika kila mwaka katika nchi za Africa.

HUDUMA   ZITOLEWAZO NA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA VIJANA.

 JINSI ZINAVYOPATIKANA.

  • Cheti za utambuzi wa Vikundi.
  • Taratibu za usajili wa NGO’S na utambulisho wa NGO’s.
  • Vipengele muhimu katika uandaaji wa Katiba
  • Kupokea wanafunzi wa Field (Mafunzo kwa vitendo)
  • Fomu mbalimbali anazopewa Mwananchi kujaza anapotaka huduma.
  • Usajili wa vikundi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.