• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

KITUO CHA AFYA KIGOGO

Start Date: 2019-07-01
End Date: 2020-06-30

Wilaya ya Kinondoni inaendelea kutekeleza mkakati wa kuviboresha na kujenga vituo vya kutolea huduma za Afya ili viweze kutoa huduma bora inayoendana na mahitaji halisi ya wananchi. Mkakati wa uboreshaji wa vituo vya kutolea huduma za Afya ni malengo mahsusi ya Mpango Mkakati wanne(iv) wa sekta ya Afya (HSSP-IV) na pia ni moja ya lengo katika Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2015 Ibara ya 50(a) (i).Katika utekelezaji wa mpango huu, Wilaya ya Kinondoni ilinunua majengo ya kilichokuwa kituo cha kulelea watoto cha Dogo Dogo Center kilichopo Kata ya Kigogo mwezi Desemba 2017 kwa gharama ya Shilingi Million Mia Nne (Shilingi 400,000,000.00) na kufanya ukarabati wa majengo ya zamani kwa gharama ya shilingi Milioni Hamsini na Nne laki Nne Thelathini na Nne Elfu mia Nane na Tatu (Shilingi 54,434,803) pamoja na ujenzi wa jengo jipya na miundo mbinu yake kwa gharama ya shilingi Millioni mia tano hamsini (Shilingi 550,000,000) kati yake 400,000,000.00 zikiwa zimetolewa na OR TAMISEMI na 150,000,000.00 vyanzo vya ndani vya Manispaa (Own Source).

Kwa mujibu wa makadirio ya gharama za ujenzi ambao unahusisha ukarabati wa majengo ya zamani, ukarabati uzio na ujenzi wa majengo mapya kiasi cha fedha Shilingi Milioni Mia Saba Arobaini Laki Tano Sitini na Mbili Elfu Mia Tano (shilingi 740,562,500). Gharama hizi hazihusishi ununuzi wa vifaa tiba, lift ya kupandia na generator ya umeme wa dharula.Mfumo ambao unatumika katika ujenzi wa jengo hili ni “Force Account”. Mfumo wa “Force Account” ni utekelezaji wa agizo la OR-TAMISEMI katika ukarabati au ujenzi wa vituo vya kutolea huduma za Afya nchini, ili kupunguza gharama na kuongeza ubora wa majengo yatakayojengwa.Kituo cha Afya Kigogo kinatarajia kutoa huduma kwa wananchi wa Kata ya Kigogo wapatao 70,288pamoja na wananchi wa Kata nyingine za jirani zinazojumuisha huduma za wagonjwa wa kutwa (OPD), wagonjwa wa kulazwa (IPD), huduma za maabara, huduma za macho, Afya ya uzazi na mtoto(Reproductive and Child Health), huduma za upasuaji, huduma za ushauri nasaha na kupima Virusi vya Ukimwi (VCT).Kituo hicho kitakuwa Kituo cha Afya pekee katika Manispaa ya Kinondoni chenye uwezo wa kutoa huduma za kulaza wagonjwa na huduma za upasuaji, hivyo kupunguza rufaa zisizo za lazima kwenda Hospital ya Rufaa ya Mkoa ya Mwananyamala na kupunguza vifo vya akina mama na mtoto vitokanavyo na uzazi.Kituo cha Afya Kigogo kinatarajiwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi kuanzia tarehe 01 Oktoba baada ya kupata usajili na bajeti ya ununuzi wa dawa na vifaa tiba toka bajeti ya mwaka 2019/2020.

PICHA YA MRADI WA UJENZI WA JENGO JIPYA KITUO CHA AFYA KIGOGO GHOROFA NNE (WODI YA WATOTO, WODI YA KINA MAMA, WODI YA UPASUAJI NA MAABARA) MRADI WA UJENZI NA UKARABATI WA KITUO CHA AFYA KIGOGO


Matangazo

  • KUFUTA TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI March 14, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA YA MKATABA March 13, 2023
  • TANGAZO KWA WASIOLIPIA VIWANJA BOKO DOVYA (KWA SOMJI) NA SALASALA February 15, 2023
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • JAPAN YAIPATIA MSAADA MZIMUNI SEKONDARI

    March 15, 2023
  • VIKUNDI VYAASWA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO

    February 18, 2023
  • "HAKUNA TIMU KUBWA ZAIDI YA KMC FC"

    February 18, 2023
  • ULINZI NI KIPAUMBELE KINODONI-DC SAAD

    February 12, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

VIKUNDI VILIVYOSEPA NA BILIONI 11 VYAKALIWA KOONI MANISPAA YA KINONDONI. REJESHENI...
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • TAARIFA KWA UMMA
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.