• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

WITO WATOLEWA KWA ASASI ZA KIRAIA KUSHIRIKI KAMPENI YA UBORESHAJI MIUNDOMBINU YA ELIMU KINONDONI

Tarehe iliyowekwa: January 30th, 2019

Wito huo umetolewa leo na Afisa maendeleo ya jamii Manispaa hiyo Bi Halima Kahema, alipokuwa akifungua mkutano wa siku moja uliowakutanisha wadau wa maendeleo, maafisa maendeleo ya jamii wa Kata pamoja na Taasisi zisizo za kiserikali zinazofanya shughuli zake katika Manispaa hiyo, kwa lengo la kujadili mstakabali mzima wa maboresho ya miundombinu ya Elimu na utatuzi wa changamoto zilizopo katika sekta hiyo.

Amesema katika kumuunga mkono Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye swala zima la elimu, Asasi za Kiraia na Taasisi zisizo za kiserikali ni vema kuwa na mchango wake wa hiari katika hili.

"Elimu ni yetu sote, hivyo ninyi Asasi za kiraia mliopo Kinondoni, tukishirikiana kwa pamoja kuongeza nguvu katika hili, hakika tutakuwa tumetatua Changamoto kubwa sana katika sekta hii nyeti, ambayo Rais wetu wa awamu ya tano ameipa kipaumbele cha kutosha" Amesisitiza Bi.Kahema.

Awali  akifafanua changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa katika Halmasahuri hiyo,  Afisa Elimu taaluma  Bw Japhet Moshi amesema, upungufu wa vyumba vya madarasa kwa shule za sekondari pekee ni 103, kwani  idadi ya wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana ni 4,054,  na waliochaguliwa kujiunga  kidato cha kwanza mwaka huu ni 11,562.

 Amezitaja changamoto nyingine kuwa ni uhaba wa mabweni, matundu ya vyoo vya wanafunzi, nyumba za walimu, huduma ya maji na chakula mashuleni, mazingira, watoto yatima, watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na huduma za afya.

Naye Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Bw Mohammed Yusuph, alipotakiwa kuzungumza aliahidi kushirikiana na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha maswala ya miundombinu ya elimu, pamoja na watoto waishio katika mazingira hatarishi yanapatiwa suluhisho kwa kiasi cha kuridhisha, ili miundombinu ya elimu iweze kuboreshwa.

Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya Msingi Oysterbay umekutanisha Asasi za Kiraia zaidi ya 400, kwa lengo la kuelezea na kuainisha mpango wa Halmashauri wa kujenga vyumba 100 vya madarasa ili kupambana na changamoto hiyo ambayo ndio kikwazo kikubwa katika sekta hii.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA NAFASI YA DEREVA DARAJA II June 29, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 28 JUNI, 2022 June 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.