• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

TAKRIBANI TSH BILIONI 242.1 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA KINONDONI, ZIKIWA NI FEDHA ZA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2018/2019.

Tarehe iliyowekwa: March 7th, 2018

 Baraza la madiwani Manispaa ya Kinondoni katika kikao chake leo limepitisha takribani sh biloni 242.1 zikiwa ni fedha kwa ajili ya makadirio ya Mapato na matumizi ya kawaida pamoja na mpango wa bajeti wa Maendeleo kwa mwaka 2018/2019

 Akifafanua mpango huo wa matumizi pamoja na bajeti hiyo  Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo Mh Benjamin Sitta amesema kiasi cha takribani bilioni 120.3 ni matumizi ya kawaida, na bilioni 121.8 ni fedha za kutekeleza miradi ya Maendeleo ambapo kiasi cha takribani bilioni 32.7 kinatarajiwa kukusanywa kutoka vyanzo vyake vya ndani, na bilioni 209.4 ni ruzuku kutoka Serikali kuu kwa ajili ya matumizi ya kawaida na kutekeleza miradi ya Maendeleo. 

 Meya Sitta amebainisha kuwa mpango huu wa bajeti umeandaliwa kwa kuzingatia sera na miongozo ya Kitaifa, Sheria ya bajeti Na. 11 ya mwaka 2015, Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025, pamoja na hotuba ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh John Pombe Joseph Magufuli ya tarehe 20/11/2015.

 Nyingine ni malengo ya Maendeleo endelevu ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015-2020, Sera ya Taifa ya UKimwi, Sera za kisekta, mipango shirikishi jamii ya fursa na vikwazo ya (O&OD),pamoja na kutekeleza miradi ya kimkakati ili kukuza Mapato ya ndani ya Halmashauri na kutekeleza miradi michache yenye matokeo makubwa kwa haraka. 

 Naye Mh Songoro Mnyonge diwani kata ya Mwananyamala, ambaye pia ni mwenyekiti kamati ya Mipangomiji na Mazingira akiunga mkono hoja ya kupitishwa kiasi hicho cha fedha amesema Manispaa imejipanga kuibua vyanzo vipya vya mapato ili iweze kukidhi matakwa ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo kwa mwaka 2018/2019.

 Katika hatua nyingine Meya sitta ameainisha vipaumbele vya bajeti hiyo kuwa ni kuboresha na kuimarisha ukusanyaji wa Mapato, kuboresha miundombinu ya kiafya, shule, barabara, maji, kilimo mjini na vijijini, hifadhi ya Mazingira  ukusanyaji wa taka, pamoja na kuboresha Mazingira ya wafanyabiashara wadogo  wadogo.

 Imetolewa na
 Kitengo chá Uhusiano na Habari.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU WAFUGAJI WENYE MIFUGO INAYOZURURA OVYO January 30, 2023
  • TANGAZO ULIPAJI WA TOZO January 26, 2023
  • TANGAZO KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI November 24, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • PUNGUZENI MATUMIZI YA KARATASI-NDUMBARO

    February 08, 2023
  • BAJETI YA KISHINDO KINONDONI

    February 02, 2023
  • KINONDONI IMETOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 2.5 KWA VIKUNDI 115 VYA WAJASIRIAMALI BILA RIBA

    January 31, 2023
  • WITO UMETOLEWA KWA WAFANYABIASHARA KUREJEA MAENEO RASMI WALIYOTENGEWA

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MCHUMI AWEKA WAZI MCHANGANUO WA BAJETI YA MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.