• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC MAKONDA AZINDUA JENGO LA UPASUAJI MWANANYAMALA LILILOGHARIMU TAKRIBAN MILIONI 420. HADI KUKAMILIKA KWAKE.

Tarehe iliyowekwa: January 26th, 2018

 Mkuu wa Mkoa wa Dar Es salaam Mh Paul Makonda amezindua Jengo la upasuaji na wodi ya wajawazito katika Hospital ya Mwananyamala lililofadhiliwa na Kampuni ya GSM ambalo limegharimu takribani milioni 420 hadi kukamilika kwake. 

 Uzinduzi wa jengo hilo umefanyika leo katika Hospital ya Mwananyamala katika hafla iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya pamoja na viongozi wa vyama na Serikali .

 Akizindua jengo hilo leo Mh Makonda amesema litakuwa maalumu kwa ajili ya utoaji huduma za upasuaji kwa wajawazito na wagonjwa wengine wa dharura. 

 "Nitumie fursa hii kuwapongeza GSM foundation kwa support yao kubwa waliyoifanya na kukamilisha ndoto hii ya Muda mrefu ya kupunguza tatizo kubwa la kinamama kugombania chumba kimoja cha operesheni na kusababisha vifo vingi kwa kinamama na watoto "Amebainisha Makonda. 

 Amesema ujenzi wa jengo hilo pamoja na vitu vingine ni katika kuunga mkono juhudi za Mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli katika kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa hasa ile ya uzazi kwa kinamama  na kupunguza vifo vya mama na mtoto kunakosababishwa na kukosa huduma madhubuti kunakoenda sambasamba na mazingira yasiyo rafiki. 

 Aidha amebainisha kuwa jengo hilo lina vyumba viwili maalum kwa ajili ya upasuaji, vyumba kwa ajili ya uangalizi maalumu,(ICU),  vyumba vya uangalizi baada ya upasuaji, vyumba vya utawala pamoja na huduma nyingine. 

 Kadhalika ameeleza uwezo wa jengo  hilo la upasuaji kuweza  kupumnzisha wagonjwa kumi ambao wamekwisha fanyiwa upasuaji kwa wakati mmoja bila bugudha yeyote, na kufanya upasuaji kwa wagonjwa wawili kwa wakati mmoja. 

 Naye Maneja Mkuu wa Kampuni ya GSM Eng Hersi Said amesema kwa kampuni yao kushirikiana na Serikali katika kuimarisha huduma za Afya ni faraja kubwa, na pia ni  katika kuhakikisha vifo vya mama na mtoto katika uzazi vinapungua. 

 Katika hatua nyingine RC Makonda amewataka wananchi wa Mkoa wa Dar És Salaam kuhakikisha wanakuwa na utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kuweza kupata huduma ya matibabu kwa haraka na kwa wakati. 

 Pia amesisitiza umuhimu wa matumizi ya Tiba kwa Kadi kutakakomrahisishia mgonjwa kupata huduma kwa haraka. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA NAFASI YA DEREVA DARAJA II June 29, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 28 JUNI, 2022 June 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.