• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AZINDUA MRADI WA SOKO LA KIGOGO

Tarehe iliyowekwa: November 11th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Amos Makalla leo tarehe 11 Novemba, 2021 amezindua mradi wa soko wenye lengo la kuwawezesha wafanyabiashara wadogo kujikwamua kiuchumi, katika eneo la Kigogo, mradi ambao umetekelezwa na kampuni ya Coca-Cola Kwanza Ltd kama sehemu ya kuchangamana na jamii kwa kurudisha fadhila.

Makalla ameishukuru Kampuni ya Coca-Cola Kwanza kwa kuwezesha mradi huo utakaowawezesha wajasiriamali zaidi ya 100 kufanya biashara zao kwenye eneo rasmi na kuwaasa wafanyabiashara kuchangamkia fursa mbalimbali za biashara katika soko hilo.

Awali Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam iliainisha maeneo ambayo wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Machinga wanatakiwa kuondoka kuwa ni kwa wale walio juu ya mifereji na mitaro, kwenye hifadhi za barabara na mbele ya shule za Serikali au taasisi za Serikali.

Maeneo mengine wasiotakiwa kuwepo wafanyabiashara hao ni njia za waenda kwa miguu na wale waliopo mbele ya biashara za maduka ya watu.

“Wafanyabiashara wadogo waliorudi kwenye maeneo waliyotolewa, niwaombe mrudi kwenye maeneo mliopangiwa kufanya biashara zenu, kwa sababu zoezi la kuwapanga ni endelevu kwa mkoa wote wa Dar es Salaam”, ameeleza Makalla.

Kampuni ya Coca-Cola Kwanza imewezesha ujenzi wa soko la kisasa la Kigogo lenye miundombinu bora ili kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kufanya biashara katika eneo rasmi na kuweza kujikwamua kiuchumi.

RC Makalla amesema ataomba Mamlaka husika kuelekeza mabasi ya abiria maarufu Daladala kutumia njia hiyo kama Kituo chao ili kuchangamsha eneo hilo kibiashara.

Hafla hiyo ya kukabidhi na kuzindua mradi wa soko la Kigogo imehushuhudiwa na wajumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi ya Manispaa ya Kinondoni ikiongozwa na Mstahiki Meya wa Manispaa Mheshimiwa Songoro Mnyonge, Menejimenti ya Manispaa ya Kinondoni chini ya Kaimu Mkurugenzi ndugu Shadrack Maximilian, uongozi wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza ukiongozwa na Meneja Mtendaji, Unguu Sulay pamoja na wananchi na viongozi mbalimbali wa Kata ya Kigogo.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA NAFASI YA DEREVA DARAJA II June 29, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 28 JUNI, 2022 June 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.