• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MSTAHIKI MEYA MANISPAA YA KINONDONI APOKEA UJUMBE KUTOKA HONG KONG POLYTECHNIC UNIVERSITY (HKPU)

Tarehe iliyowekwa: January 25th, 2019

HALMASHAURI YA MANIPAA  YA KINONDONI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Benjamin Kawe Sitta leo amepokea ujumbe kutoka Hong Kong Polytechnic University ( HKPU) ambapo wamekutana na   kufanya mazungumzo yenye lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kitaasisi utakaosaidia kuimarisha uwezo wa Taasisi zetu mbili za Kilimo Malolo na ufundi Wazo  katika kutoa taaluma bora zaidi na hatimaye kuweza kufikia malengo ya manispaa ya Kuwawezesha Wanufaika wa Mikopo ya  Wanawake na vijana kunufaika na Tekinolojia itakayotolewa katika vyuo hivyo.

Ujumbe huo wa Chuo Kikuu cha HKPU Umeongozwa na Ndugu CHAN Stephen ,Mkuu wa Idara ya Mafunzo kwa njia ya kujitolea na Profesa Grace Ngai ,Mkuu wa Idara ya Komputa ambapo Mstahiki Meya wa Kinondoni Pamoja na Mambo mengine ametumia fursa hiyo kuwakaribisha Tanzania na kuwashukuru kwa nia na dhamira ya  Chuo hicho kuanzisha Ushirikiano wa Kitaasisi na vyuo vya Tanzania ikiwemo Kituo cha Mafunzo Malolo na Chuo cha Ufundi Wazo kinachotarajia kufunguliwa mwezi Februari mwaka huu 2019.

Akizungumza na Ujumbe huo Mstahiki meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Benjamini Kawe Sitta, amewataka Wakazi wa Manispaa ya Kinondoni hususani wanufaika wa Mikopo ya Wanawake na Vijana inayotolewa na Manispaa kujiunga kwa mafunzo mbalimbali ya  ufundi katikia vituo hivyo viwili ili waweze kunufaika na ushirikiano  wa Manispaa ya Kinondoni na chuo hiki Maarufu cha Hong Kong Polytechnic University.

Kiongozi wa Ujumbe huo Ndugu CHAN Stephen Mkuu wa Idara ya mafunzo kwa njia ya kujitolea, katika mazungumzo yake amesema kuwa ziara yake hapa Nchini Tanzania inatokana na Fursa zilizopo za kutoa Huduma za Kijamii katika Nyanja za Kiteknolojia na ufundi kama wanavyofanya Nchini Rwanda hivyo ujio wake ni mwanzo mpya wa Mashirikiano katika nyanya hizo .Pia amewawakikishia Watanzania Kunufaika na Ushirikiano wa Kihistoria uliopo kati ya Tanzania na China.

IMETOLEWA NA:

KITENGO CHA HABARI, MAWASILIANO ITIFAKI NA MAHUSIANO

HALMASHAURI YA MANISPAA YA KINONDONI.

 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI KWA VITENDO (PRACTICAL) June 30, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA NAFASI YA DEREVA DARAJA II June 29, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 28 JUNI, 2022 June 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UHUSIANO WA DSM NA HAMBURG WAFANIKISHA UZINDUZI KIWANDA CHA MBOJI

    June 30, 2022
  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.