• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MH ALLI HAPI AFANYA ZIARA KUKAGUA HATUA ZA UTEKELEZAJI ZILIZOFIKIWA KATIKA UKARABATI WA BARABARA UNAOENDELEA KWENYE WILAYA YAKE.

Tarehe iliyowekwa: January 1st, 2018

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Ali Hapi leo amefanya ziara kukagua hatua mbalimbali za utekelezaji zilizofikiwa katika ukarabati wa barabara unaoendelea kwenye Wilaya yake ikiwamo zile zilizoko chini ya TARURA pamoja na zile zinazotekelezwa chini ya mradi wa DMDP.

 Akikagua barabara hizo Mh Hapi amesema amefurahishwa na hatua zilizofikiwa na zenye viwango vya kuridhisha kwani kukamilika kwake kutawaondolea kero watumiaji wake hasa ile wanayoipata wakati wa mvua.

 "Nataka niwaambie wananchi wa Kinondoni kuwa mwaka 2018, ni mwaka wa barabara, nimefanya ziara hii kujionea mwenyewe hatua za utekelezaji wa ukarabati, nimeridhishwa nao,  niwaombe TARURA waharakishe upitiaji wa mikataba ya awali iliyoingiwa kuhusiana na barabara hizi na wanipatie majibu ndani ya kipindi kifupi 

 Naye Maneja TARURA Manispaa ya Kinondoni Mhandisi Leopod Rungi amebainisha kuwa takribani shilingi bilioni 1.2 zimetengwa kwa ajili ya kukarabati mita 22,000 za ukubwa ambapo ni sawa na urefu wa km 2.5 za barabara. 

 Ameainisha kazi zinazofanyika katika barabara hizo kuwa ni kuziba viraka, kufukia mashimo, usanifu pamoja na kutengeneza mitaro. 

 Katika hatua nyingine Mh Hapi amewataka wananchi kuhakikisha wanazithamini na kuzipenda barabara hizo kwa kuhakikisha wanazingatia usafi hasa yale maeneo ya mitaro yanayopakana na nyumba zao. 

 Barabara zilizotembelewa ni Barabara ya kondoa yenye urefu wa km 1.5, barabara ya mlandizi yenye urefu wa km 5.2, Barabara ya Sayansi yenye urefu wa km 0.6, barabara ya Slip way yenye urefu wa km 2.4, pamoja na barabara ya CCBRT yenye urefu wa km 0.8.

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • MABADILIKO YA VITUO VYA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA July 30, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KWA MAKARANI, WASIMAMIZI WA MAUDHUI NA TEHAMA TAREHE 27 JULAI, 2022 WILAYA YA KINONDONI July 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DAWASCO YAPEWA SAA 24 KUPELEKA MAJI SOKO LA WAMACHINGA LA COCACOLA MWENGE

    August 18, 2022
  • TAKA NI FURSA

    August 16, 2022
  • FANYENI KAZI KWA UAMINIFU

    August 12, 2022
  • DC GONDWE: ASISITIZA MAAGIZO YA RC AMOS MAKALLA KUFANYIWA KAZI

    August 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.