• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH PAUL MAKONDA ARIDHISHWA NA HATUA ZA UJENZI -MAJENGO YA UTAWALA

Tarehe iliyowekwa: May 16th, 2018

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda ameonesha kuridhika kwake na hatua  za ujenzi wa majengo ya utawala ya shule za msingi na sekondari, yanayoendelea kujengwa ikiwa ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa takribani majengo 402, yanayotarajiwa kujengwa Mkoa wa Dar es salaam nje ya bajeti ya Serikali.

Hayo yamethibitika leo alipokuwa akikagua ujenzi wa jengo la utawala lenye ofisi nne,matundu ya vyoo pamoja na bafu, katika shule ya Sekondari Makumbusho ambapo ujenzi huo umekamilika.

Amesema dhamira yake ya dhati, pamoja na Serikali ya awamu ya tano chini ya Dr. John Pombe Magufuli ni kuona Mazingira ya waalimu wetu yanaboreshwa, hali itakayopelekea hari kubwa ya ufundishaji na kuleta matokeo chanya ya ufaulu kwa wanafunzi wetu.

Akionesha msisitizo wa azma yake hiyo nzuri amesema "lengo ni kujenga majengo ya utawala 402, ambapo 107 ni majengo ya utawala ya Sekondari, na 295 ni majengo ya utawala ya shule za Msingi,  Kazi hii ya ujenzi haihitaji shukrani, bali shukrani ziende kwa Mungu, fanyeni kazi kwa faida ya Tanzania " amesema Makonda

Naye Katibu wa kamati ya ujenzi wa ofisi za waalimu Mkoa wa Dar es salaam, ambaye pia ni Afisa elimu wa Mkoa Mwalimu Khamis Lissu, amesema kwa sasa yanahitajika matofali milioni mbili, laki mbili na ishirini elfu, hadi majengo hayo kukamilika, na kuwataka wadau wa elimu kujitokeza kwa wingi kuchangia ili waweze kufanikisha azma hiyo.

Akitoa neno la shukrani, Afisa elimu Sekondari wa Manispaa hiyo, Ndg Rodgers Shemwelekwa amesema huo ndio uongozi unaoacha alama na ni mbegu inayoendelea kuchipua na isiyokufa katika sekta ya Elimu kwa kuthamini mchango unaotolewa kwa kutujengea majengo hayo ya utawala, na kuahidi kuyatunza kwa matumizi sahihi ili yalete tija kwa wanafunzi na Taifa la Tanzania kwa ujumla.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es salaam amewatakia watanzania wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa Ramadhan, na kuwaahidi usalama na utulivu katika kipindi chote cha Mfungo huo wa Ramadhan.


Imeandaliwa na

Kitengo cha Habari na Uhusiano.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUWAPANGA WAFANYABISHARA KATIKA MAENEO RASMI September 28, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • MEYA KINONDONI AFUTURISHA

    April 27, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.