Manispaa ya Kinondoni imeendelea kupokea wageni mbalimbali katika banda lake lililoko viwanja vya Tungi, Mkoani Morogoro, ikiendelea kutekeleza kauli mbiu ya Nane nane mwaka huu isemayo "Wekeza katika kilimo, mifugo na uvuvi kwa maendeleo ya viwanda "
Kinondoni tumetekeleza.
Imeandaliwa na
Kitengo cha Uhusiano na habari.
Manispaa ya Kinondoni.
2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam
Anuani ya Posta: S.L.P 31902
Simu ya mezani: +255 22 2170173
Simu ya mkononi:
Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz
Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.