• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

"MASHIRIKA YA UMMA, SEKTA BINAFSI SHIRIKIANENI NA SERIKALI KATIKA KUMUWEZESHA MWANAMKE ".

Tarehe iliyowekwa: March 8th, 2018

NI KAULI YAKE MAMA JANET MAGUFULI  KATIKA MAADHIMSHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YENYE KAULI MBIU ISEMAYO "KUELEKEA UCHUMI WA VIWANDA TUIMARISHE USAWA WA KIJINSIA NA UWEZESHAJI WA WANAWAKE VIJIJINI "

 Mashirika ya Umma na Sekta binafsi kote nchini yametakiwa kuhakikisha yanashirikiana bega kwa bega na Serikali katika kumuwezesha mwanamke kujikwamua kiuchumi na kimaendeleo. 

 Kauli hiyo imetolewa leo na Mama Janet Magufuli, Mke wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alipokuwa Mageni rasmi siku ya maadhimisho ya mwanamke duniani yenye kauli mbiu isemayo "Kuelekea Uchumi wa viwanda tuimarishe usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake vijijini."

 Amesema kufuatia kauli mbiu hiyo wanawake wanatakiwa kujengewa uwezo ikiwemo elimu ya ujasiriamali, mafunzo, ili kupata mbinu za kuwekeza, mitaji pamoja na maeneo kwa lengo la kumsaidia mwanamke kujikwamua kiuchumi. 

 Ameongeza kuwa lengo la siku ya wanawake duniani ni kutukumbusha harakati na mafanikio yaliyokwisha fanyika katika kumkwamua mwanamke dhidi ya unyanyasaji, hali duni, kutelekezwa na kuhakikisha haki yake inapatikana, inaheshimiwa na kuenziwa. 

 Naye Mkuu wa Mkoa wa Dar Es salaam Mh Paul Makonda alipotoa nasaha zake wakati wa maadhimisho hayo amesema wanawake wa Mkoa wa Dar Es Salaam wanajitahidi Sana katika kuhakikisha wanaendana na kasi iliyopo ya uchumi wa viwanda. 

 Amebainisha kuwa katika Mkoa wake kunajumla ya vicoba 2748 vyenye mtaji wa takribani bilioni 10.78 ambavyo vinaendeshwa na wanawake.

 Aidha amebainisha kuwa katika mkoa wake unajumla ya idadi ya watu milioni 6, na kati ya hao wanawake ni wengi kuliko wanaume, hivyo ni jeshi kubwa ambalo likiwezeshwa linaweza. 

 Maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City  yamehudhuriwa na Makatibu tawala wa Wilaya zote tano za Mkoa wa Dar es Salaam, Wakuu wa Wilaya, Watendaji wa Taasisi za Serikali, Viongozi wa CWT, pamoja na wanawake wa Mkoa wa Dar Es Salaam .

 Imetolewa na
 Kitengo chá Uhusiano na Habari
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.