• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

MAFUNZO YA SIKU TATU YATOLEWA KWA WAJUMBE WA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KINONDONI

Tarehe iliyowekwa: May 29th, 2021

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo shirikishi, Mwenyekiti wa Kamati ya kudhibiti UKIMWI Kinondoni ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa hiyo Mhe.Herri Misinga amesema  mafunzo haya ni kwa lengo la kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati hiyo ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.

Amesema lengo pia ni kuwaandaa wajumbe kuwa mabalozi wazuri na ndio maana Serikali kupitia mpango wakuthibiti maambukizi ya virusi vya Ukimwi imekuwa ikisisitiza  utoaji wa elimu kwa wananchi.

“ Nimeambiwa mafunzo haya ni ya siku tatu, ninaamini kuwa wawezeshaji ambao wamekuja leo hii, watatoa elimu nzuri ambayo kwetu sisi itatusaidia kwenda kuwaelimisha wananchi ambao tumewawakilisha hapa, nimpongeze Mkurugenzi kwakutuandalia mafunzo haya” amesema Mhe. Misinga.

Awali akimkaribisha Naibu Meya, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bi Sipora Liana amesema kuwa anatambua umuhimu wa Kamati hiyo na kwamba anaamini elimu  ya siku tatu  itakayotolewa kupitia mafunzo hayo itakuwa chachu ya mafanikio katika kuhakikisha maambukizi ya virusi vya Ukimwi yanaendelea kupungua katika Manispaa hiyo hasa ikizingatiwa kwamba kunajumla ya vituo vya kupimia maambukizi ya VVU 240, ambapo kati ya hivyo vya Serikali ni 27 na vya binafsi ni 213.

Kwaupande wake mratibu wa kudhibiti UKIMWI Manispaa ya Kinondoni Bi.Robby Gwesso amesema mafunzo hayo, yamehusisha warataibu kutoka TACAIDS, Manispaa ya Kinondoni, wataalamu kutoka Taasisi binafsi, Madiwani, wawakilishi kutoka makundi ya Vijana, Wazee, Asasi za kiraia, Viongozi wa dini, Watu wenye ulemavu, Watu wanaoishi na maambukizi ya Virusi vya ukimwi pamoja na watendaji wa Manispaa ya Kinondoni.

Mada zilizofundishwa ni pamoja na UKIMWI mahala pa Kazi, Sera ya taifa ya kudhibiti UKIMWI, tafsiri ya sheria ya kudhibiti UKIMWI, Sera na miongozo inayosimamia ithibati ya VVU na UKIMWI katika jamii, Muundo wa kamati ya kudhibiti UKIMWI ngazi ya wilaya, kata na mtaa/ vijiji, wajibu na majukumu ya kamati shirikishi za kudhibiti UKIMWI ngazi ya wilaya, kata na mitaa/vijiji.

Nyingine ni ukweli kuhusu UKIMWI, kifua kikuu na homa ya ini, mawasiliano kuhusu UKIMWI, utoaji wa taarifa za VVU na UKIMWI, mpango shirikishi, ufuatiliaji na tathmini pamoja na uongozi na ubia katika mwitikio wa VVU na UKIMWI

Imeandaliwa na

Kitengo cha Habari na Mahusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.