• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

MAFUNZO YA KILIMO YANAYOENDELEA MALOLO -KINONDONI, YAWE CHACHU YA MAENDELEO KATIKA SEKTA HIYO, KUELEKEA UCHUMI WA KATI WA VIWANDA

Tarehe iliyowekwa: May 1st, 2018

Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mh Kisare Makori ,kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda, katika ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili yahusuyo utaalamu wa Kilimo mjini yanayoendeshwa na wakorea kwa kushirikiana na KOIKA kituoni hapo.

Amesema Mafunzo haya ni kufuatia ushirikiano mzuri uliopo kati ya Dar es salaam na jimbo la Gyeongsangnam nchini Korea, yenye lengo la kubadilishana uzoefu katika sekta ya Kilimo mjini, hasa ikizingatiwa ari ya serikali ya sasa ni kujenga Uchumi wa Kati wa viwanda.

"Ni Jambo jema kuwa na ushirikiano wa kimkakati na nchi zilizopiga hatua kwenye sekta muhimu kama za Kilimo, na kuwa tayari kuachilia utaalam huo kwa nchi zinaoendelea kama ya kwetu, hivyo mafunzo haya yachukuliwe kwa umuhimu mkubwa ,hasa nyie washiriki wa semina hii, na mkawe mabalozi wazuri wa kusambaza utaalamu wa kilimo cha mjini"Amesema Makori.

Naye mratibu wa mafunzo haya kutoka Kinondoni Ndg Hija Salehe ambaye pia ni Afisa Kilimo wa Manispaa hiyo amesema, wako tayari kupokea utaalam utakaoleta tija ya Maendeleo katika eneo hili la kilimo, kwani ndio njia pekee ya kumkwamua mkulima kutoka hatua ya chini kwenda ya kati kwa kutumia eneo dogo kupata mazao bora kuelekea uchumi wa kati wa viwanda.

Aidha amezitaja mada zitakazofundishwa kwa siku hizo mbili kuwa ni namna ya bora ya kuongeza ubora wa Kilimo unaoenda sambasamba na hali ya maisha ya mjini,  uthibiti wa magonjwa na wadudu katika Kilimo cha mazao ya bustani, mbinu za utunzaji na uendeshaji katika kilimo na mazao ya bustani, pamoja na mpango mkakati wa matumizi sahihi ya mbinu za Kilimo cha mbogamboga.

Akielezea umuhimu wa mafunzo haya kwa Tanzania, Mkurugenzi wa Mahusiano ya kibiashara ya kimataifa kutoka Korea ya Kusini Bw. Youngjun Kwack amesema, wako tayari kusaidiana na nchi ya Tanzania katika kuhakikisha mabadiliko makubwa yanapatikana katika sekta ya Kilimo, kwani hali ya Kilimo iliyoko sasa Nchini, yafanana na miaka ya 70 ya Kilimo nchini kwao.

Mafunzo haya yamehusisha maafisa kilimo wa Halmashauri zote tano za Mkoa wa Dar es Salaam, wakufunzi kutoka Korea, washiriki kutoka KOIKA, pamoja na wakulima wadogo wadogo wa Kilimo cha mbogamboga kutoka Kinondoni.


Imeandaliwa na

Kitengo cha Uhusiano na Habari.

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.