• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

KUELEKEA NANE NANE : BANDA LA KINONDONI LASHANGAZ WENGI.USIPITWE NA WEWE.

Tarehe iliyowekwa: August 3rd, 2017


 NI KUHUSIANA NA UTAALAMU ADIMU NA WA KISASA WA JINSI YA? KUZALISHA MALISHO YA HYDROPHONIC .

 Kuelekea kilele cha Nane nane Mkoani Morogoro Manispaa ya Kinondoni imejipanga vema katika maswala ya Ufugaji. 

 Leo inakuletea Technolojia ya kitu kinaitwa Hydrophonic Fodder. 

 Technolojia hii ya Hydrophonic fodder ni mbinu ya kukuza mimea kwa kutumia mchanganyiko wa vurutubisho vya madini katika maji bila kutumia udongo. 

 Mchakato huu huchukua muda wa siku 5-7 kukamilika. Unachotakiwa kufanya ni kuchukua Kilo moja ya mbegu za ngano au mtama au shayiri au mahindi na kuziotesha kisha kumwagiliwa virutubisho maalum(Hydrophonic Nutrients). 

 FAIDA ZA CHAKULA CHA HYDROPHONIC FODDER KWA MIFUGO. 

 Ni nafuu sana ukilinganisha na gharama za chakula cha madukani. 

 Kina virutubisho na vitàmini mara 3 zaidi ya chakula cha kawaida. 

 Hupunguza magonjwa ya mfumo wa hewa kama vile mafua kwa mifugo na mfugaji kwani hakina vumbi. 

 Kina Protein ya kutosha, chakula chake ni laini, mifugo hukua kwa haraka Sana na hupunguza gharama za ufugaji kwenye manunuzi ya chakula kwa asilimia 50-75.

 HATUA KATIKA KUZALISHA HYDROPHONIC.
 Mfugaji anaweza kuzalisha malisho yake mwenyewe nyumbani. Mambo muhimu ya kufuata ni haya hapa :

 Chagua mbegu ambazo hazijaanza kuchipua, na hazina kemikali ama dawa ya aina yeyote. 

 Loweka mbegu katika mchanganyiko wa maji na chlorine kwa masaa mawili kuepusha kuvunda, ama vimelea vya magonjwa kumea na kukua kwenye malisho. 

 Zitoe mbegu kwenye maji, kisha zioshe, ziloweke kwenye maji safi kwa masaa 24 kuwezesha mbegu kufyonza maji vema. 

 Katika kupanda mbegu, pima  kilo mbili za mbegu kwa kila trei yenye urefu wa cm 80 kwa upana wa cm 40.

 Sambaza mbegu kwenye trei kwa usawa, (zisizidi cm 3kimo)  ili kuwe na nafasi ya kutosha kwa kila mbegu kuchipua. 

 Hakikisha trei zinamatundu kwenye kitako(chini) ambayo yamesambaa kwa usawa kuwezesha maji ya ziada kutoka. 

 Hamishia trei kwenye chanja ulizotengeneza. Mbegu zitaanza kuota katika hatua hii. Fanya hii ni siku ya kwanza. 

 JINSI YA KULISHA. 

 KUKU: kwa kuku 100 wanaotaga (Layer) wape kilo 8 za hydrophonic na waongezee kilo 4 za chakula cha layer.(Layer Mash) kwa siku. 

 Nguruwe: Katika unenepeshaji wake kilo 2 za hydrophonic na 1.5 za chakula kikavu (Nafaka)  kwa nguruwe mmoja kwa siku. 

 Ngombe, Mbuzi :wanaweza kutegemea majani haya tu na kuwa na uzalishaji mzuri bila nyongeza ya mchanganyiko wa nafaka.

 Sungura :wanaweza kutegemea majani haya tu lakini ni vema kuwapa nyongeza ya mchanganyiko. 

 Kwa elimu zaidi juu ya technolojia ya Hydrophonic, usikose kutembelea banda la Manispaa ya Kinondoni ukutane na wataalamu wa Mifugo wapate kukujuza mengi zaidi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUWAPANGA WAFANYABISHARA KATIKA MAENEO RASMI September 28, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • MEYA KINONDONI AFUTURISHA

    April 27, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.