• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KINONDONI YAZINDUA MFUMO WA KUTUMIA SIMU MPANGUSO KUPATA USHAURI WA LISHE (BETTER YOUR HEALTH) KWA WATUMIAJI WA DAWA ZA KUFUBAZA MAKALI YA VIRUSI VYA UKIMWI

Tarehe iliyowekwa: July 29th, 2020

Akizindua mfumo huo wa kutumia simu mapanguso( smartphone) better your health kupata ushauri wa lishe na  taarifa za hali ya afya na kwa watumiaji wa dawa za kufubaza makali ya virusi vya UKIMWI (vvu) kwa kushirikiana na wadau kutoka  Fabstech, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni Dr. Samweli lizer kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo amesema ni mfumo mzuri utakaosaidia kutoa taarifa za msingi katika kuhakikisha mtumiaji anazipata ili kuboresha afya yake.

Amesema ni fursa pekee itakayosaidia kundi hili maalumu kula mlo kamili kwa kufuata utaratibu hali itakayosaidia kupungua kwa maambukizi katika jamii.

Akiutambulisha mfumo huo Dr.Linda Mlunde kutoka kampuni ya teknolojia inayojishughulisha na utengenezaji wa mifumo ( Fabstech ltd).amesema ni mfumo rafiki wa kutumia simu kwa  watumiaji wa dawa za kufubaza makali ya VVU  ili kupata ushauri wa lishe na taarifa za afya  zitakazowasaidia kuimarisha afya zao.

Ameongeza kuwa mtumiaji wa mfumo huu atatakiwa kuwa na simu mpanguso ( smartphone) ili aweze kujisajili na ili mtumishi aweze kutumia mfumo atafuata maelezo na kuingiza taarifa zake  kwenye mfumo ambazo ni uzito, urefu, muda na kiasi cha chakula alichokula kwa siku baada ya kuingiza taarifa hizo kwenye mfumo mtumiaji atapata mrejesho kuhusu afya yake ya mwili na ushauri wa lishe kutokana na Hali yake ya afya aliyonayo.

Akieleza jinsi ya kujiunga na mfumo huo wa Better yourHealth Ndg Karimu Iddi kutoka kampuni ya Fabstech ameeleza namna ya kupata mfumo huo katika simu yako kwa kufuata hatua ambazo ni kufungua Playstore-na kupakua app ya chrome, pili Update App ya Chrome, tatu kufungua App ya Chrome na kuandika maneno, betteryouth.co.tz, nne kubonyeza kitufe Cha Go, tano kufuata maelekezo ili kuruhusu mfumo wa better your helath katika simu yako, kujisajili na kuanza kutumia mfumo wa better YH.

Naye Bi.Gisela Mallya ambaye ni mtumiaji wa mfumo wa better your health amesema ni mfumo rafiki na mzuri kwani unasaidia kupata ushauri wa lishe na taarifa stahiki zinazomuwezesha kujua uwiano Kati ya urefu na uzito wake na suala zima la lishe  hali uliyonayo ikiwa ni pamoja na aina yachakula unachotakiwa kula, kiasi cha chakula na wakati gani unaoenda sambamba na nini kifanyike pindi unapohitajika kufanya hivyo.

Uzinduzi wa mfumo huo uliodhaminiwa na PEPFAR, MCC, na WFP, na kusimamiwa na Tanzania data lab, mehudhuriwa na wajumbe kutoka Tanzania Data lab (dLab), CHMT,  watoa huduma wa afya kutoka vituo vya afya, watoa huduma kutoka ngazi ya jamii, Wateja ambao ndio watumiaji wa mfumo na timu iliyotengeneza mfumo wa better your health kutoka kampuni ya Fabstech limited.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI KWA VITENDO (PRACTICAL) June 30, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KWA NAFASI YA DEREVA DARAJA II June 29, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 28 JUNI, 2022 June 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • UHUSIANO WA DSM NA HAMBURG WAFANIKISHA UZINDUZI KIWANDA CHA MBOJI

    June 30, 2022
  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.