• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

KINONDONI YAWASHUKIA WAUZAJI WA MBWA NA PAKA KIHOLELA

Tarehe iliyowekwa: September 28th, 2020

 Kinondoni imetoa onyo kali kwa watu wanaouza wanyama jamii ya mbwa na Paka kiholela kwani kwa kufanya hivyo ni kinyume cha sheria ya ufugaji mjini.

Onyo hilo limetolewa leo na katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi Stella Msofe, alipokuwa mgeni rasmi katika  maadhimisho ya siku ya  kichaa Cha mbwa Duniani yenye  kaulimbiu isemayo "TOKOMEZA KICHAA CHA MBWA: TUSHIRIKIANE, KUCHANJA" na kuzindua rasmi chanjo ya ugonjwa wa kichwa cha mbwa hafla iliyofanyika katika viwanja vya Tanganyika Packer's.

Amesema sheria hairuhusu mbwa na paka kupangwa barabarani na kuuzwa, wanyama hawa Wana haki zao na kuna maeneo maalum ambayo biashara hii inatakiwa kufanyika, hivyo Wananchi wafuate sheria ili kwa pamoja tuweze kutokomeza magonjwa yanayozeza kutoka kwao wanyama na kuja kwa binaadamu ukiwemo huu wa Kichaa cha mbwa.

"Napenda kutumia maadhimisho ya siku hii kuwakumbusha wenzetu wanaoishi na mifugo majumbani mwao kufuata sheria za ufugaji mjini ili kudhibiti mbwa wanaozurura na Wananchi waache mara moja biashara ya kuuza mbwa barabarani"

 Ameongeza Bi Msofe.

Kwa upande wake Mkuu wa Idara ya mifugo na uvuvi Manispaa ya Kinondoni Bi Patricia Henjewele amesema ugonjwa wa kichwa cha mbwa unaowapata mbwa pia unawapata binaadamu, na ni vigumu kutibu binaadamu ambae anakuwa ameambukizwa ugonjwa huu hivyo ni bora zaidi kuchanja mifugo ili kuzuia kusambaa kwa ugonjwa.

 Amesema zoezi la chanjo kwa mbwa na paka ambalo limezinduliwa leo, litakuwa endelevu kwa kipindi cha mwezi mzima katika kata mbalimbali zilizopo wilaya ya Kinondoni hivyo Wananchi wawasiliane na Maafisa mifugo wa kata husika.

Aidha amewashukuru Taasisi ya Every living Things inayojihusisha na haki za wanyama hususani wanyama wanaozurura mitaani kwa kushirikiana na Manispaa ya Kinondoni kutokomeza ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa.

Siku ya kichaa cha mbwa duniani huadhimishwa kila ifikapo Tar 28 mwezi Septemba ambapo kwa Kinondoni wameadhimisha kwa kutoa chanjo kwa mbwa na paka dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha mbwa, Kutibu wanyama watakaogundulika na magonjwa ya aina mbalimbali, Kuogesha wanyama kwa lengo la kuua kupe na viroboto na kukata kucha zilizodidi.

Imeandaliwa na

 Kitengo cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • MABADILIKO YA VITUO VYA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA July 30, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KWA MAKARANI, WASIMAMIZI WA MAUDHUI NA TEHAMA TAREHE 27 JULAI, 2022 WILAYA YA KINONDONI July 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DAWASCO YAPEWA SAA 24 KUPELEKA MAJI SOKO LA WAMACHINGA LA COCACOLA MWENGE

    August 18, 2022
  • TAKA NI FURSA

    August 16, 2022
  • FANYENI KAZI KWA UAMINIFU

    August 12, 2022
  • DC GONDWE: ASISITIZA MAAGIZO YA RC AMOS MAKALLA KUFANYIWA KAZI

    August 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.