• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

KIKAO KAZI CHA KUJENGA UELEWA WA MPANGO WA TASAF KWA VIONGOZI KINONDONI CHAZINDULIWA LEO

Tarehe iliyowekwa: July 6th, 2021

Akizindua kikao kazi hicho chenye lengo la kujenga uelewa kuhusu mpango wa TASAF wa kunusuru Kaya masikini kipindi cha pili, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Godwin Gondwe amesema ni vema wakawa na uelewa wa kutosha hali itakayopelekea uwajibikaji utakaoenda sambamba na ufuatiliaji kwa maslahi mapana ya walengwa na Taifa kwa ujumla.

Amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Samia Suluhu Hassan imelenga kuinua kipato kwa kaya masikini hali itakayowawezesha kujikwamua kiuchumi katika kusukuma gurudumu la maendeleo.

Aidha amewataka viongozi kutambua umuhimu wa mpango wa TASAF kipindi cha pili na kuwataka agenda ya utambuzi wa walengwa kuwa endelevu kwani ndio msingi mzima wa ukamilishaji wa mkakati huu wa kunusuru Kaya masikini kwa maslahi mapana ya Taifa.

"Ningependa eneo hili la upatikanaji wa walengwa kuwe na uwazi wa kutosha kutokana na miongozo ambayo mtaitoa katika mafunzo yenu, ili kwamba tukubali sisi Kinondoni vile vikao vya kisheria na kikatiba tunaiweka agenda hiyo kuwa endelevu",  Ameeleza Mhe. Godwin Gondwe.

Ameainisha vipaumbele vinavyotakiwa kutiliwa mkazo katika mpango huu wa kipindi cha pili kuwa ni kuwe na uwazi wa kutosha, kuwe na uelewa mzima wa madhumuni ya TASAF kwa walengwa,  tuelewe ni nini wajibu wa walengwa wenyewe na kuhakikisha fedha zinafika kwa walengwa na  kutumika kwa malengo mahususi.

Naye Mkurugenzi wa miradi ya jamii TASAF kwa niaba ya Mkurugenzi wa TASAF makao makuu Bi. Philippine Mmary katika hotuba yake amesema katika kipindi cha pili cha TASAF kimelenga kufikia Kaya zote ambazo hazikufikiwa awamu ya kwanza katika Manispaa ya Kinondoni.

Hafla hii ya uzinduzi wa kikao kazi imehudhuriwa pia na Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Mstahiki Meya Kinondoni, Naibu Meya, Baraza la Madiwani, TAKUKURU, Mbunge viti maalum, Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na Maafisa Ugani kutoka kwenye Kata.

Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.