• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

"DC HAPI ATOA MIFUKO 100 YA CEMENT, NA BATI 50 KWA AJILI YA UJENZI WA CHOO ENEO LA SOKO KIGOGO.

Tarehe iliyowekwa: January 6th, 2018


 NI ENEO LENYE EKARI 4.9 LILILOKUWA DAMPO YA ZAMANI LITAKALOJENGWA SOKO LA KISASA KWA AJILI YA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MABIBO KUHAMIA NA KUFANYA BIASHARA ZAO. 

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh. Alli Hapi ametoa mifuko 100 ya cement na Bati 50 kwa ajili ya ujenzi wa choo eneo la kigogo kitakachotumiwa na wafanyabiashara watakaohamia kutoka mabibo na kufanya biashara zao katika eneo hilo. 

 Ahadi hiyo ameitoa Leo alipokuwa katika mkutano wa hadhara kati yake na wafanyabisahara wa mabibo  pamoja na kigogo uliofanyika katika eneo la iliyokuwa kigogo Dampo Manispaa ya Kinondoni. 

 Amesema eneo hilo kuwa soko ni kufuatia maombi ya wafanyabiashara wa soko la mabibo kuomba kupatiwa eneo la kufanya biashara baada ya kupata changamoto ya eneo walilokuwepo awali. 

 Ameongeza kuwa lengo la Serikali ni kuleta Maendeleo na kwa kugeuza eneo hilo kuwa soko ni fursa itakayoleta neema si tu kwa wananchi wa kata ya kigogo, bali kwa wananchi wa Wilaya ya Kinondoni. 

 "Tumepokea maombi ya wafanyabiashara wa soko la mabibo, kutaka kufanya biashara eneo la kigogo , maombi yenu tumeyapokea, na kwasababu sisi tunafanya kazi kwa niaba ya Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli, tunaendeleza falsafa yake ya kuwaletea wanachi maendeleo, tumeyakubali maombi yenu ya kufanya biashara eneo la kigogo. "Amebainisha Hapi. 

 Naye Diwani wa kata hiyo, ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mh. Manyama Mangalu amesema fursa hiyo ni ya neema katika kata yake na Manispaa kwa ujumla, kwani pamoja na kufanya biashara itasaidia kwa kiasi kikubwa kukuza uchumi kwa wakazi wake wa kigogo pamoja na kuiingizia Halmashauri Mapato. 

 Katika hatua nyingine DC Hapi ameitaka Manispaa hiyo kuanza kuweka mpango mkakati wa kuboresha eneo hilo  kwa misingi ya kuwa soko la kisasa, ikiwa ni pamoja na kuweka mipaka.

 Aidha ameitaka Manispaa kuhakikisha kazi ya mpango wa kujenga choo inaanza mara moja ikienda sambamba na ujenzi wa kibanda cha mlinzi. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano na Habari.
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • MABADILIKO YA VITUO VYA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA July 30, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KWA MAKARANI, WASIMAMIZI WA MAUDHUI NA TEHAMA TAREHE 27 JULAI, 2022 WILAYA YA KINONDONI July 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DAWASCO YAPEWA SAA 24 KUPELEKA MAJI SOKO LA WAMACHINGA LA COCACOLA MWENGE

    August 18, 2022
  • TAKA NI FURSA

    August 16, 2022
  • FANYENI KAZI KWA UAMINIFU

    August 12, 2022
  • DC GONDWE: ASISITIZA MAAGIZO YA RC AMOS MAKALLA KUFANYIWA KAZI

    August 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.