• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Mifumo
    • NaPA
    • eMrejesho

DC GONDWE KINONDONI AKABIDHIWA OFISI RASMI

Tarehe iliyowekwa: June 24th, 2021

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ambaye kwa sasa ni Katibu Mkuu CCM Taifa  Mhe. Daniel Chongolo leo amekabidhi ofisi ya Kinondoni kwa Mkuu mpya wa Wilaya hiyo Mhe. Godwin Gondwe hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa.

Akikabidhi ofisi hiyo pamoja na majukumu yake, amesema Kinondoni yenye Kata 20, Mitaa 106, majimbo ya Uchaguzi mawili, na kipaumbele chake kikubwa kikiwa ukusanyaji wa mapato ni mahali salama pa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na  miongozo iliyopo yenye kuleta tija na maslahi mapana kwa wananchi na Taifa kwa ujumla.

Amesema "Wakati nakabidhiwa Kinondoni kutoka kwa kaka yangu Ally Hapi, ilikuwa salama kabisa, Mimi ndiye nilikuwa nimekabidhiwa hili gurudumu la kuiendesha kwa wakati huo, na sasa nakukabidhi wewe, uendelee nayo kwa uhuru, amani na kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni zilizowekwa kwa maslahi mapana ya wananchi na  wala usiingiliwe na mtu yeyote". Katibu Mkuu CCM Chongolo amefafanua.

Aidha Katibu Mkuu huyo wa CCM Taifa pia ameziainisha changamoto zinazoikabili Kinondoni kuwa ni ukusanyaji wa mapato, ardhi, usafi pamoja na suala la ulinzi na usalama.

Naye Mkuu mpya wa Wilaya hiyo Mhe. Godwin Gondwe katika mazungumzo yake, amekiri kupokea maelekezo yote na kuahidi kuyatekeleza ikiwa ni pamoja na kushughulikia changamoto zilizoainishwa kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

Alipokuwa akizungumza Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bi.Sipora liana, amempongeza Katibu Mkuu CCM Taifa Mhe. Daniel Chongolo kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo na kuahidi kuyaenzi yale mazuri aliyoyafanya na kumkaribisha Mkuu mpya wa Wilaya Mhe. Godwin Gondwe huku akiahidi ushirikiano katika kutekeleza majukumu yanayompasa.

Hafla hiyo imehudhuriwa pia na viongozi wa Chama na Serikali, Kamati ya ulinzi na usalama Wilaya, Taasisi za Serikali na binafsi, wadau wa mazingira, Wakala wa vipimo, Waheshimiwa Madiwani pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo.


Imeandaliwa na

Kitengo Cha Habari na Uhusiano

Manispaa ya Kinondoni

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 13, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUWAPANGA WAFANYABISHARA KATIKA MAENEO RASMI September 28, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • KINONDONI KUFIKIA WATOTO TAKRIBANI 156871 KAMPENI YA SIKU NNE CHANJO YA POLIO KITAIFA

    May 18, 2022
  • MWENGE WA UHURU KINONDONI 2022, WAPITIA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI TAKRIBANI BILIONI 3.9 FEDHA ZA KITANZANIA

    May 10, 2022
  • MEYA KINONDONI AFUTURISHA

    April 27, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.