• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Mwananyamala

HISTORIA FUPI:

Kata hii ilizaliwa kutokana na mgawanyiko wa Kata ya Makumbusho. Kata ya Mwananyamala imeanzishwa miaka ya 1990, neno Mwananyamala lilmetokana na lugha ya Kizaramo ikiwa na maana mtoto nyamaza sababu ya jina hili ni tahadhari iliyokuwa ikitolewa kwa watoto kutokupiga kelele wala kulia wakati wakipita kwenye msitu wa Kijitonyama ambao ulikuwa na wanyama wakali na wapole.

Kabla ya mgawanyiko wa eneo la sasa la Kata ya Mwananyamala ilikuwa ni mashamba ya mpunga. Wenyeji wengi walikuwa ni wakulima na wafugaji. Kuna mchanganyiko wa makabila mbalimbali ambayo ni Wazaramo, Wapogoro, Wamakonde na Wayao.

ASILI YA JINA LA MWANANYAMALA; zamani Mwananyamala ilikuwa ni eneo moja na Kata za Makumbusho na Kijitonyama. Kulikuwa na msitu mkubwa na bwawa ambalo mpaka sasa lipo katika Kata ya Kijitonyama. Katika eneo la bwawa hilo na msitu huo kulikuwa na wanyama wakali walionekana na wasioonekana na kulikuwa na njia ambayo wananchi walikuwa wakipita kwenda kwenye shughuli zao mbalimbali ikiwemo kilimo katika maeneo ya Mwenge na kwingineko, hivyo wakati wakipita maeneo hayo walikuwa na tahadhari kubwa ya kutopiga kelele na hasa watoto walitahadhirishwa kutolia.

Mtoto nyamaza (Mwan- nyama) Mwana ni mtoto na Nyamala ni Nyamaza. Miaka ya 1990, Kata ya Mwananyamala ilikatwa na kuzaa Kata ya Makumbusho na Kiitonyama.

IDADI YA MITAA:

Kata ya Mwananyamala ina jumla ya mitaa saba ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Bwawani
  2. Kambangwa
  3. Kwakopa
  4. Msisiri A   
  5. Msisiri B
  6. Msolomi
  7. Mwinyijuma


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya kuridhisha, hasa elimu ya msingi, sekondari, vituo vya kulea watoto wadogo pamoja na uwepo wa vyuo.

SHULE ZA AWALI:

Kata ya Mwananyamala inazo shule za awali saba (7) ambapo kati ya hizo 4 za serikali  na 3 za binafsi.


SHULE ZA SEKONDARI:

Kata ya Mwananyamala inazo shule za sekondari za serikali na binafsi mbili kama ifuatavyo: -  

  1. Kambangwa sekondari,
  2. Ridhiwaa Islami sekondari


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Mwananyamala ni ya kuridhisha kwani ina Zahanati na Vituo vya Afya vya serikali na binafsi.


KITUO CHA AFYA KILICHOPO KATA YA MWANANYAMALA:

Kituo cha Afya kilichopo ni kimoja ambacho ni cha binafsi kinaitwa Kinondoni kwa Mvungi.


ZAHANATI ZILIZOPO KATA YA MWANANYAMALA:

Zahanati zilizopo katika Kata ya Mwanayamala ni 3 ambapo 1 kati ya idadi tajwa ni ya serikali iitwayo Kambangwa na 2 ni za binafsi zinazojulikana kwa majina ya Msisiri B na KBDS Msolomi.


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Asilimia kubwa ya barabara za Kata ya Mwananyamala zimejengwa kwa kiwango cha lami na changarawe. Barabara ya Mwinjuma kutoka studio (Ally Hassan Mwinyi Road hadi Mwananyama A urefu wa kilomita 4, barabara ya Dunga kutoka Biafra hadi mzunguko wa Peace urefu wa kilomita 2.5, barabara ya Ally Hassn Mwinyi bonde la Mkwajuni hadi Morocco. Morocco hadi Victoria.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano ya wadau wa maendeleo na uongozi wa Kata na Mitaa ni mazuri, kwani wako mstari wa mbele kuchangia shughuli za kijamii na miradi ya maendeleo. Mfano; OSHA, VODACOM T, LTD, CRDB n.k.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.