• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

Mbezi Juu

HISTORIA FUPI:

Eneo la Kata ya Mbezi Juu hapo awali lilikuwa ni eneo ambao lilikuwa shamba la Mkonge na wakazi wake wengi walitokana na kabila la Wamakonde.

Asili ya jina la Mbezi Juu limetokana na jiografia yake ambayo ni ya milima na mabonde na hivyo kupelekea madhari yake kuonekana kuwa juu sana.

Kata ya Mbezi Juu imetoka kwenye ubavu wa eneo la Kawe ambapo mwaka 2009 iligawanywa na kupatikana Kata ya Mbezi Juu. Kata hii inakadiriwa kuwa na wakazi takribani 41,821

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Mbezi Juu ina jumla ya mitaa mitano (05) ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Ndumbwi
  2. Mbezi Juu
  3. Mbezi Kati
  4. Mbezi Mtoni
  5. Mbezi Jogoo


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ni ya kuridhisha, hasa elimu ya awali, msingi, sekondari na uwepo wa vyuo vya elimu ya kati.


SHULE ZA AWALI ZA BINAFSI:

Kata ya Mbezi Juu inayo shule moja ya awali ya binafsi ijulikanayo kwa jina la Kyomo

 

SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI NA ZA BINAFSI:

Kata ya Bunju inazo shule tano (05) za msingi za serikali na za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya msingi Mbezi Juu - Serikali
  2. Shule ya msingi Mbezi Ndumbwi – Serikali
  3. Shule ya msingi St. Mary’s – Binafsi
  4. Shule ya msingi Mt. Kibo – Binafsi
  5. Shule ya msingi Kilimani - Binafsi


SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI NA ZA BINAFSI:

Kata ya Bunju inazo shule tano (05) za sekondari za serikali na za binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Shule ya sekondari Mbezi Juu - Serikali
  2. Shule ya sekondari Mbezi Beach - Binafsi
  3. Shule ya sekondari St. Mary’s – Binafsi
  4. Shule ya sekondari Braeburn International – Binafsi
  5. Shule ya sekondari Laureate - Binafsi


VYUO VYA ELIMU YA KATI VYA BINAFSI:

Kata ya Bunju inavyo vyuo vitatu (03) vya elimu ya kati vya binafsi kama ifuatavyo: -

  1. Masana Nursing Training College
  2. Goig VETA
  3. Mount Ukombozi Health Science Training College


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Mbezi Juu ni ya kuridhisha kwani ina Zahanati ya serikali na za binafsi.


ZAHANATI ZILIZOPO KATA YA MBEZI JUU:

Zahanati zilizopo katika Kata ya Mbezi Juu ni 5 ambapo 1 kati ya idadi tajwa ni ya serikali inayojulikana kwa jina la Zahanati ya Ndumbwi. Zahanati za binafsi ni: SUPER SPECIALIZED CLINIC, KETO, GEORGE na TAIFO.


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Hali ya miundombinu bado ni mibovu, barabara nyingi ni za vumbi kwa hiyo wakati wa mvua miundombinu hiyo inakuwa sio rahisi kupitika. Barabara za mitaa yote hakuna ambayo ni ya kiwango cha lami, zaidi ya barabara kubwa ambayo inanzia Tangibovu kwenda Goba.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano na wadau wa maendeleo katika ngazi ya Kata ikiwemo kampuni binafsi n.k ni mazuri sana kwani wamekuwa wanasaidia sana kwenye shughuli mbalimbali za kiserikali na kijamii kwenye nyanja za maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA DARAJA II September 21, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI (TAREHE 20 SEPTEMBA, 2021) September 21, 2021
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIKUNDI 286 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 VYAPATIWA MAFUNZO

    June 20, 2022
  • MAFUNZO KAZI YA MFUMO WA UTOAJI, USIMAMIZI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    June 18, 2022
  • KINONDONI YAPONGEZWA KWA UJENZI WA KIWANJA CHA MICHEZO

    May 26, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU KINONDONI LAFANYIKA LEO

    May 18, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

POSHO MADIWANI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.