• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Fukwe na Visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Utalii
      • Matukio ya Utalii
      • Royal Tour Bus
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu

Hananasif

HISTORIA FUPI:

Kata ya Hananasif ni miongoni mwa Kata 20 zilizomo ndani ya Manispaa ya Kinondoni. Asili ya jina Hananasif linatokana na jina la mzungu raia wa Kigiriki ambae alikuwa akiitwa HANANASIF na mmiliki wa mashamba wakati wa ukoloni. Jina la Hananasif lilipatikana mnamo mwaka 1986 baada ya wananchi kuvamia shamba hilo.

 

IDADI YA MITAA:

Kata ya Hananasif ina jumla ya mitaa mitano (5) mitano ya Kiserikali ambayo ni: -

  1. Mtaa wa Hananasif
  2. Mtaa wa Kawawa
  3. Mtaa wa Kisutu
  4. Mtaa wa Mkunguni A
  5. Mtaa wa Mkunguni B


HALI YA ELIMU KATIKA KATA:

Hali ya elimu katika Kata ya Hananasif ni ya kuridhisha, hasa elimu ya awali, msingi na sekondari.


SHULE ZA AWALI ZA BINAFSI:

Kata ya Hananasif inazo shule mbili (2) za awali za binafsi ambazo ni: -

  1. Star Day Care
  2. St. John


SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI:

Kata ya Hananasif inazo shule mbili (2) za msingi za ambazo ni:

  1. Shule ya msingi Hananasif
  2. Shule ya msingi Mkunguni

 

SHULE YA SEKONDARI YA SERIKALI:

Kata ya Hananasif ina shule moja ya sekondari ya serikali inayoitwa Hananasif sekondari.  


HALI YA AFYA:

Hali ya Afya katika Kata ya Hananasif ni ya kuridhisha kwani ina Vituo vya Afya vya binafsi na Zahanati ya serikali.


VITUO VYA AFYA VILIVYOPO KATA YA HANANASIF:

Kata ya Hananasif ina Vituo vya Afya vitatu vya binafsi.


ZAHANATI ILIYOPO KATA YA HANANASIF:

Kata ya Hananasif ina Zahanati moja (1) ya serikali ambayo ni Zahanati ya Hananasif.


HALI YA MIUNDOMBINU YA BARABARA:

Kata ya Hananasif ina barabara mbili tu ambazo ni za kiwango cha lami zenye urefu wa kilometa mbili (02). Barabara nyingine ni za vumbi.


MAHUSIANO NA WADAU WA MAENDELEO:

Mahusiano na wadau wa maendeleo katika ngazi ya Kata ikiwemo kampuni binafsi n.k ni mazuri sana kwani wamekuwa wanasaidia sana kwenye shughuli mbalimbali za kiserikali na kijamii kwenye nyanja za maendeleo.

Matangazo

  • UTOAJI WA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU April 01, 2025
  • TANGAZO March 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 05, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA VITENDO KADA YA AFISA TEHAMA MSAIDIZI ULIOFANYIKA TAREHE 25/03/2024 March 25, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • ZAIDI YA MITI 1200 YAPANDWA KUADHIMISHA MIAKA 63 YA UHURU

    December 09, 2024
  • MAAMBUKIZI UKIMWI YAPUNGUA

    December 01, 2024
  • MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI YASHUKA KINONDONI

    November 29, 2024
  • WENYEVITI NA WAJUMBE WAPYA WAPEWA MAELEKEZO YA MAJUKUMU YAO

    November 28, 2024
  • Tazama zote

Picha Jongefu

IFAHAMU KATA YA MZIMUNI, MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • MWONGOZO WA NAMNA YA KUTUMIA MFUMO WA TAUSI
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • MAKTABA YA PICHA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • HOTUBA
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255222170173

    Simu ya mkononi: +255733241052

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.