• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Afya na Usafishaji
      • Mipangomiji na Maendeleo ya Makazi
      • Kilimo na Mifugo
      • Elimu Sekondari
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
      • Uwanda wa bahari, fukwe na visiwa
      • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
      • Matukio ya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo cha mijini
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Maji na Usafishaji
    • Ujasiriamali na utoaji wa mikopo
    • Ushauri katika Kilimo
    • Elimu ya ufugaji, mifugo na uvuvi
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Baraza la Madiwani
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
    • Ratiba ya Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi Vilivyotolewa
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video

BIASHARA

Utangulizi

Sekta ya Viwanda na Biashara hutoa ajira kwa asilimia 62 ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam lina jumla ya wakazi 4,364,541 kati yao watu wenye umri wa kufanya kazi (miaka 15 hadi 64) ni asilimia 66.3 (2,893,691); wengi wao wanafanya kazi za biashara na ajira viwandani.

AINA ZA BIASHARA

Kuna aina tatu za biashara zinazotambuliwa

  1. Biashara ya jumla
  2. Biashara ya rejareja
  3. Biashara ya Kimataifa: - Uagizaji bidhaa toka nje (Import) na Uuzaji bidhaa kwenda nje (Export)

(a) BIASHARA YA JUMLA

Katika Jiji la Dar es Salaam kuna bidhaa za aina mbalimbali pamoja na huduma zinazouzwa kwa kiwango kikubwa na kupelekwa nje ya Mkoa. Bidhaa hizo ni pamoja na zinazozalishwa katika viwanda viliyopo hapa Mkoani na zile zinazoagizwa toka nje ya nchi.

(b) BIASHARA YA REJAREJA

Hii ni biashara inayofanywa kwa kuuza bidhaa zilizonunuliwa jumla na kuuzwa kidogo kidogo kwa mlaji wa mwisho. Bidhaa hizi ni za aina nyingi sana zikiwemo vyakula, vifaa vya ujenzi, mavazi na bidhaa zingine zote za matumizi mbalimbali. Biashara hizi hupatikana katika masoko, maduka na maeneo mbalimbali yaliyotengwa kwa ajili hiyo.

(c) BIASHARA YA KIMATAIFA

Biashara hii inafanyika katika Nchi yetu na nchi za nje ambapo kuna aina: Uagizaji bidhaa toka Nchi za nje (Import) na Uuzaji bidhaa kwenda Nchi za nje (Export)

  • Uagizaji bidhaa toka Nchi za nje (Import)

Kuna makampuni mbalimbali yanayoagiza bidhaa toka nje ya nchi na kuzisambaza mikoani. Bidhaa zinazoagiza nje ni pamoja na nguo, vifaa vya ujenzi kwa mfano mabati, magari, vipuri vya magari, vipuri vya mashine, baiskeli, pikipiki.

  • Uuzaji wa bidhaa Nchi za nje (Export)

Bidhaa zinazouzwa nje ya nchi ni pamoja na mazao ya kilimo kwa mfano kahawa, katani, tumbaku, majani ya chai, korosho, karanga na maua. Uagizaji wa bidhaa na uuzaji wa bidhaa nchi za nje unasimamiwa na Taasisi ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tanzania Trade Development Authority (TANTRADE).

MADUKA MAKUBWA

Kuna maduka makubwa yanayouza bidhaa jumla na rejareja na kuagiza bidhaa toka nje. Maduka hayo ni:-

  • Nakumatt
  • Shoppers Plaza
  • Quality Centre
  • Mlimani City
  • Imalaseko
  • Hidary Plaza
  • J. Mall n.k.

MASOKO

Katika Jiji la Dar es Salaam idadi ya watu imekuwa ikiongezeka kwa haraka kutokana na vivutio vya shughuli za biashara na viwanda. Wakazi hawa hupata mahitaji yao kwa kuuza na kununua bidhaa mbalimbali kutoka kwenye Masoko. Kuna jumla ya masoko 61 yanayosimamiwa na Halmashauri za Manispaa na moja linasimamiwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

  • Temeke 17
  • Ilala 24
  • Kinondoni 19
  • Halmashauri ya Jiji 1 (Machinga Complex)

Kati ya Masoko ambayo idadi yake imeoneshwa hapo juu, masoko makubwa ni Kariakoo, Tegeta, Magomeni, Mwananyamala Bwawani, Buguruni, Temeke Sterio, Kawe, Ilala, Tazara (Veteririnary) na Feri. Serikali imejenga soko kubwa (Machinga Complex) linaloweza kuchukua wafanyabiashara/wajasiriamali 6,000 lakini jengo hili halijatumika/halijachukua wajasiriamali wengi kama ilivyotarajiwa.

HUDUMA ZA BIASHARA

Kuna huduma za biashara zinazotolewa na Taasisi mbalimbali.

Benki

Kuna Benki za Biashara zipatazo 34 kati ya hizo ni:

  • CRDB
  • National Bank of Commerce
  • Standard Chartered
  • National Microfinance
  • Bank of Baroda
  • Kenya Commercial Bank
  • International Commercial Bank
  • FBME Bank
  • Equity Bank (Tanzania)

Taasisi za Fedha

Kuna taasisi zinazotoa huduma za fedha katika Jiji la Dar es Salaam zikiwa ni pamoja na zifuatazo:-

  • Efatha
  • Finca Tanzania Ltd
  • Maendeleo Bank
  • Anzania Investment Bank
  • Tanzania Mongange Refinance Bank
  • Twiga Barcorp Ltd
  • Uchumi Commercial Bank Ltd
  • Convenant Bank for Women
  • Exim Bank

Maduka ya fedha (Bureau de change)

Maduka hayo huuza fedha za ndani na za kigeni. Maduka hayo ni mengi na yamesambaa katika maeneo mengi ya Jiji.

Majengo pacha ya Benki Kuu ya Tanzania

Maduka ya Madawa

Kuna maduka makubwa ya madawa yanayotoa huduma ya kuuza madawa kwa jumla na rejareja.

  • Salama Phamaceticals Ltd
  • JB Phamacy etc.

VIWANDA

Sekta ya viwanda ni sehemu muhimu katika uchumi wa Taifa. Mkoa wa Dar es Salaam una viwanda vingi vya aina mbalimbali kufuatana na bidhaa zinazozalishwa.

(a) Viwanda vya nguo viko 36 kati ya hivyo ni:

  • Karibu Textile Mills Ltd
  • Tanzania China Friendship Textile
  • Nida Textile Mills (t) Ltd
  • 21 st Century Textile
  • Tanzania Uniform and Clothing Corporation Ltd
  • Quality Textile
  • Tanzania clothing Co. Ltd
  • Textile Manufacturers Association
  • Textile Manufacturers (T) Ltd
  • Tex Age Tanzania Ltd
  • Traditional Textiles (T)
  • Tanganyika Textiles Industries Ltd
  • Tanzania Knitwear Co. Ltd
  • Tradenet International Ltd
  • Varieties Textile Merchant
  • Viraj Textile
  •  Afri Care
  • Blanket Textiles Manufacturers Ltd
  • Blanket & Textile Ltd
  • Congolin & Co. Ltd
  • Fomoka Trading and Industry Co. Ltd
  • J.V. Textile & Cryarments Ltd
  • K.H. Khimji & Sons
  • Kilimanjaro Textile Corporation
  • Fashion Fabric Textile etc

(b) Viwanda vya Kusindika Vyakula

  • Dyestuffs, Chemicals & Food Colors
  • Msk Solutions
  • Olan Tanzania
  • Power Food Industries
  • Bakhresa Group
  • Noble Azania n.k.
  • Fishmeal and Animal Protein

(c) Viwanda vya Vinywaji

  • Tanzania Breweries Ltd
  • Serengeti Breweries Ltd
  • Cocacola Kwanza Ltd
  • SBC (Pepsicola)
  • Chibuku
  • Tanzania Distritaries

(d) Viwanda vya Kutengeneza Kemikali

  • Quality Plastics Ltd
  • Polypet Industries
  • Mansoor Daya Chemicals Ltd
  • Plasco Ltd
  • Twiga Chemical Industries (T) Ltd
  • Abcom Chemicals Ltd
  • Afro Chemicals Ltd
  • Bio-Chemicals Laboratory Supplies Ltd

VIWANDA VIDOGO

Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kuendeleza Viwanda Vidogo (SIDO) linatoa mafunzo kwa wajasiriamali na kuanzisha viwanda vidogo vidogo kama vile:-

  • Utengenezaji wa samani mfano Keko Furniture Works
  • Utengenezaji wa vyakul vya mifugo (Temeke Growers Meal)
  • Aluminium Scrap
  • Mkono Arts & Crafts
  • Confectionary & Beverages
  • Wine Products
  • Gifts, Crafts & Home Decorations
  • Poultry, Farming Equipments

EPZA (Export Processing Zone Authority)

Hii ni Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uzalishaji bidhaa kwa ajili ya mauzo ya Nje. Inashughulikia maeneo yaliyotolewa na kuendelezwa kwa ajili ya kuvutia na kutoa fursa kwa wawekezaji wa ndani na nje. Maeneo haya huzalisha bidhaa kwa ajili ya kuuza nje tu (exports). Maeneo ya EPZA kwa Mkoa wa Dar es Salaam ni:

  • Benjamin Mkapa Export Processing Zone
  • Millennium Business Park (Ubungo)
  • Hifadhi Economic Processing Zone (Ubungo)
  • Manzava Fabries Co. Ltd
  • Kurasini Export Processing Zone. Hili eneo bado linajengwa na litahusika sana na mazao ya kilimo.  

VITEGA UCHUMI VIKUBWA VYA AINA YA PEKEE

Mkoa wa Dar es Salaam una vitega uchumi vikubwa vya aina ya pekee kwa ukubwa na huongeza mapato Kitaifa. Vitege uchumi hivyo ni:-

  • Bandari ya Dar es Salaam
  • Viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu J.K. Nyerere
  • Uwanja wa Taifa
  • Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere
  • Kituo cha Mikutano cha Mwalimu Nyerere

Matangazo

  • MABADILIKO YA VITUO VYA KUFANYIA MAFUNZO YA SENSA July 30, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA KWA MAKARANI, WASIMAMIZI WA MAUDHUI NA TEHAMA TAREHE 27 JULAI, 2022 WILAYA YA KINONDONI July 27, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA SENSA 2022 July 19, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DAWASCO YAPEWA SAA 24 KUPELEKA MAJI SOKO LA WAMACHINGA LA COCACOLA MWENGE

    August 18, 2022
  • TAKA NI FURSA

    August 16, 2022
  • FANYENI KAZI KWA UAMINIFU

    August 12, 2022
  • DC GONDWE: ASISITIZA MAAGIZO YA RC AMOS MAKALLA KUFANYIWA KAZI

    August 10, 2022
  • Tazama zote

Picha Jongefu

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.