• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Wasifu wa Halmashauri
  • Utawala
    • Divisheni
      • Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
    • Vitengo
      • Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Fedha na Mahesabu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Manunuzi
      • TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
    • Ofisi ya Mtendaji wa Kata
    • Ofisi ya Mtendaji wa Mtaa
    • Kata
      • Bunju
      • Hananasif
      • Kawe
      • Kigogo
      • Kijitonyama
      • Kinondoni
      • Kunduchi
      • Mabwepande
      • Magomeni
      • Makongo
      • Makumbusho
      • Mbezi Juu
      • Mbweni
      • Mikocheni
      • Msasani
      • Mwananyamala
      • Mzimuni
      • Ndugumbi
      • Tandale
      • Wazo
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Fukwe na Visiwa
    • Sehemu za kitamaduni, ngoma za asili na sanaa za mikono
    • Matukio ya Utalii
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Huduma za Elimu
    • Ujasiriamali
    • Ushauri katika Kilimo
    • Vituo vya Ukusanyaji Mapato
    • Vibali vya Ujenzi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipangomiji na Mazingira
      • Maadili
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhibiti UKIMWI
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Meya
  • Miradi
    • Iliyopangwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Sera
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Mkataba wa huduma
    • Fomu za maombi
    • Vibali vya Ujenzi
    • Nyaraka za Elimu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio

Ushauri katika Kilimo

Kituo cha kilimo Malolo chenye jumla ya hekari 45 kinapatikana katika Kata ya Mabwepande jijini Dar es Salaam kinamilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni na ni mahsusi ili kuwawezesha wananchi kupata fursa ya kujifunza masuala mbalimbali kuhusu kilimo, mifugo na usindikaji.

Mafunzo ya kilimo cha kisasa, umwagiliaji wa matone, matumizi ya neti maalum za kilimo pamoja na masoko hutolewa bure kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wengine ambao ni wakazi katika Manispaa ya Kinondoni.

Mazao yanayolimwa katika Kituo cha kilimo Malolo ni Alizeti, ndizi, mazao ya mbogamboga ikiwemo mchicha, majani ya maboga, matembele, sukuma wiki, biringanya, majani ya kunde n.k.

Mboga za matunda zinazolimwa katika Kituo cha Malolo ni pamoja nyanya, pilipili, pilipili hoho, maembe, mapapai, matikiti maji, matango pori na machungwa. Mahindi mabichi pia yanalimwa katika Kituo cha kilimo Malolo kama zao la biashara.

Wakulima pia wanapata fursa ya kufundishwa matumizi ya kitalu nyumba ambayo hutumika katika kuboresha mazingira ya ukuaji wa mimea hususan kupunguza joto kali kutokana mionzi ya jua pamoja na kutunza unyevunyevu katika udongo. Neti maalum za kilimo hutumika katika kitalu nyumba ili kupunguza mwanga mkali wa jua pamoja na kuzuia wadudu waharibifu kwenye mimea.

Umwagiliaji wa matone ni aina ya umwagiliaji ambayo hutumia mipira maalumu yenye matundu au isiyo na matundu, ambapo mtumiaji ataitoboa kulingana na nafasi ya zao husika. Maji hutolewa kwa mfano wa dripu katika kila shina ama penye tundu. Mfumo huu wa kisasa wa umwagiliaji mimea hasa mazao humwezesha mkulima kulima kipindi chote cha mwaka pasipo kutegemea mvua, kumwongozea uzalishaji wa mazao pamoja pato la mkulima na pato la taifa kwa ujumla.

Faida za umwagiliaji wa matone ni kama zifuatazo: -

  • Matumizi ya maji ni kidogo
  • Mbolea za chumvichumvi zinaweza kuwekwa kupitia mfumo huu (fertigation), ambapo huchanganywa kwenye tenki la maji kisha kufikishwa karibu na mizizi,
  • Maji yanapelekwa pale amboko mimea inayahitaji, siyo pale ambako hayaihitajiki
  • Magugu yanapungua kwa sababu hayamwagiliwi (isipokuwa sehemu iliyo karibu sana na mazao)
  • Hatari ya magonjwa wa fungus inapungua kwa sababu majani yanabaki makavu
  • Mfumo unahitaji msukumo “pressure” kidogo tu na hii inapunguza gharama za nishati (diseli, umeme) kwa ajili ya pampu hata pampu ni ndogo hivyo rahisi zaidi
  • Mmomonyoko wa ardhi shambani unapungua sana
  • Hatari ya kuongezeka kwa chumvi ardhini inapungua sana
  • Hupunguza gharama za wasaidizi shambani
  • Kubwa zaidi njia hii huokoa muda



Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU WAFUGAJI WENYE MIFUGO INAYOZURURA OVYO January 30, 2023
  • TANGAZO ULIPAJI WA TOZO January 26, 2023
  • TANGAZO KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI November 24, 2022
  • MABADILIKO YA SIKU YA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA MAUDHUI, WASIMAMIZI WA TEHAMA NA MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 28, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • PUNGUZENI MATUMIZI YA KARATASI-NDUMBARO

    February 08, 2023
  • BAJETI YA KISHINDO KINONDONI

    February 02, 2023
  • KINONDONI IMETOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 2.5 KWA VIKUNDI 115 VYA WAJASIRIAMALI BILA RIBA

    January 31, 2023
  • WITO UMETOLEWA KWA WAFANYABIASHARA KUREJEA MAENEO RASMI WALIYOTENGEWA

    January 28, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MCHUMI AWEKA WAZI MCHANGANUO WA BAJETI YA MANISPAA YA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • TARATIBU ZA KUPATA KIBALI CHA UJENZI
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • UJASIRIAMALI NA UTOAJI MIKOPO
  • VITUO VYA KUKUSANYIA MAPATO
  • ORODHA YA WAHESHIMIWA MADIWANI
  • RATIBA YA MSTAHIKI MEYA
  • TAARIFA KWA UMMA
  • MIRADI ILIYOKAMILIKA

Viunganishi Linganifu

  • TOVUTI KUU YA IKULU
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA OR-TAMISEMI
  • TOVUTI YA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • TOVUTI YA IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

Idadi ya Wasomaji

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Morogoro, 14883 Dar es Salaam

    Anuani ya Posta: S.L.P 31902

    Simu ya mezani: +255 22 2170173

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki © 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni. Haki Zote Zimehifadhiwa.