• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Wazo

KATA YA WAZO.

Asili ya jina la Kata ya Wazo ni kutokana na umaarufu wa Kiwanda cha Wazo.

IDADI YA MITAA.

Kata ya Wazo inajumla ya Mitaa nane kama ifuatavyo:-

1.    Mtaa wa Salasala

2.    Mtaa wa Kilimahewa

3.    Mtaa wa Kilimahewa Juu

4.    Mtaa wa Wazo

5.    Mtaa wa Kisanga

6.    Mtaa wa Mivumoni

7.    Mtaa wa Madale

8.    Mtaa wa Nyakasangwe.

Diwani wa Kata hiyo anaitwa Joel Martin Mwakalebela.

HALI YA MIUNDOMBINU.

Kata ya wazo inayo miundombinu ya  barabara za lami ambazo ni  Barabara ya Bagamoyo, Mbuyuni na salasala.

Hali kadhalika inazo pia barabara za vumbi zinazotumiwa na wakazi wishio katika  Mitaa yao.

HALI YA AFYA.

Hali ya Afya katika Kata ya wazo ni ya Kuridhisha, japokuwa wakazi wake mara kwa mara husumbuliwa na magonjwa ya MALARIA, PNEUMONIA, MAFUA NA UTI.

HALI YA ELIMU.

Hali ya Elimu katika Kata ya Wazo ni ya wastani.

SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI

Kata ya Wazo inazo shule tano za Msingi za Serikali ambazo ni :-

•    Shule ya Msingi Salasala.

•    Shule ya Msingi Benaco

•    Shule ya Msingi Kisauke

•    Shule ya Msingi Wazo

•    Shule ya Msingi Nakasangwe.

SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI

Kadhalika Kata ya Wazo inazo pia shule tatu za Sekondari ambazo ni za Serikali kama ifuatavyo:-

•    Shule ya Sekondari ya Twiga

•    Shule ya Sekondari ya Kisauke

•    Shule ya Sekondari ya Maendeleo.

MAHUSIANO YA WADAU.

Kata ya Wazo pamoja na wananchi wake inayo mahusiano ya kuridhisha  na wadau wake , na ndio maana wanashirikiana kwa pamoja katika kusukuma maendeleo ya Kata yao.

MIRADI YA KUJIVUNIA KATIKA KATA.

•    Ujenzi wa Kituo cha polisi ghorofa moja -Mtaa wa Madale kwa nguvu za wananchi.

•    Ujenzi wa daraja la Mbopo.

•    Uwepo wa maabara katika Sekondari zote tatu.

•    Uwepo wa Zahanati tatu katika Kata.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki