• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Urban planing and land development

IDARA YA MIPANGOMIJI.


IDARA YA MIPANGOMIJI.

Idara ya Mipangomiji Manispaa ya Kinondoni imejumuisha vitengo vifuatavyo:-Mipangomiji, Uthamini, Ardhi, na Upimaji na Ramani na Mali Asili.    


MAJUKUMU YA KITENGO CHA MIPANGOMIJI.

Mipangomiji inayo majukumu mawili makubwa ambayo yamegawanyika kama ifuatavyo:-

•Kupanga (Planning and Design)

•Kusimamia Maendeleo ya ukuaji wa mji (Development control)

1.KUPANGA

•Kuandaa michoro ya Mipangomiji (town planning drawings) katika maeneo ambayo hayajaendelezwa kwa kiasi kikubwa.

•Kuandaa mipango ya urasimishaji makazi katika maeneo yaliyoendelezwa.

•Kuandaa mipango Kamambe (Masterplan)  

2.KUSIMAMIA MAENDELEO YA UKUAJI WA MJI

•Kushughulikia maombi ya kumilikishwa ardhi kwa kutoa masharti ya uendelezaji katika majalada ya Hati.

Mahitaji ya kumilikishwa kiwanja ni:-

1.Kuwe na Mchoro wa Mipangomiji unaoainisha matumizi ya ardhi ya viwanja

2.Kiwanja kiwe kimepimwa na upimaji kuidhinishwa na Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi

3.Mwombaji atachukua form za maombi ya kumilikishwa ardhi kutoka ofisi ya Afisa Ardhi wa Manispaa

4.Mwombaji atajaza form hizo atatakiwa kuziwasilisha zikiwa zimejazwa vizuri na aziambatanishe na Mchoro wa Mipangomiji na Ramani ya Upimaji wa kiwanja husika

Kushughulikia maombi ya vibali vya ujenzi

  Mahitaji ya maombi ya vibali vya ujenzi:-

1.Mwombaji aandae michoro ya usanifu majengo (Architectural drawings) ya jengo analokusudia kujenga. NB: Kwa viwanja vyenye hati miliki, ujenzi unaokusudiwa uzingatie masharti ya uendelezaji yaliyoandikwa kwenye hati ya umiliki wa kiwanja

2.Kwa majengo ya ghorofa mwombaji atatakiwa kuandaa na kuwasilisha michoro ya vyuma ya jengo kusudiwa (structural drawings)

3.Mwombaji atatakiwa kuandika na kuwasilisha barua ya maombi yakibali cha ujenzi kwa Mkurugenzi wa Manispaa

4.Mwombaji atawasilisha michoro yake akiambatanisha na nakala ya hati miliki ya kiwanja katika ofisi ya Msanifu majengo wa Manispaa na atapatiwa form maalum za kujaza na baadae atafunguliwa jalada la maombi yake.

5.Kwa maeneo ambayo hayajapimwa (unplanned areas), mwombaji atatakiwa kupitia hatua na. 1-3 hapo juu.

6.Kujaza form mmalum ya maombi ya kibali cha ujenzi katika maeneo yasiyopimwa (form imeambatanishwa)

7.Kuwasilisha michoro ya majengo iliyoandaliwa ikiambatanishwa na form maalumu liyojazwa vizuri na Mchoro wa mipangpmiji wa eneo husika.

•Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya Ardhi

1.Kuandika na kuwasilisha barua ya maombi ya kubadili matumizi ya Ardhi.

2.Barua iambanishwe na vitu vifuatavyo:-

a.Nakala ya hati/barua ya toleo.

b.Ramani ya michoro wa mipangomiji au (extract).

c.Ramani ya upimaji (kwa wale wenye offer pekee).

d.Nakala za risiti za malipo ya kodi ya ardhi.

e.Nakala za risiti za malipo ya kodi ya jengo kwa viwanja vilivyoendelezwa.

f.Michoro ya msanifu majengo (architectural drawings).

g.Nakala ya bango.

Mfano wa bango la tangazo la kusudio la kubadili matumizi ya ardhi limeambatanishwa.


Fomu ya kuomba kibali cha ujenzi wa maeneo yasiyopimwa fomu maeneo yasiyopimwa.pdf Fomu ya kuomba kibali cha ujenzi wa maeneo yaliyopimwa
MFANO WA BANGO .pdf

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki