• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Mipango na takwimu

IDARA YA UCHUMI NA MIPANGO

Idaraya Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji inashughulikia  upangaji  na uratibu wa mipango ya maendeleo ya Halmashauri, Usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo ya Halmashauri, ukusanyaji wa Takwimu pamoja na kuratibu shughuli za Uwekezaji.  Idara hii imegawanyika katika sehemu tatu kama ifuatavyo:-

•    Sera na Mipango

•    Usimamizi na Ufuatiliaji wa Miradi ya Maendeleo.

•    Takwimu.

 SEHEMU YA SERA NA MIPANGO.

Majukumu ya sehemu hii ni kama ifuatavyo:-

•    Kuratibu uandaaji wa Mipango shirikishi katika Kata zote za Halmashauri kupitia Mfumo wa O&OD kila mwaka .

•    Kuratibu na kuandaa Mpango na Bajeti ya kila mwaka ya Halmashauri.

•    Kuratibu uandaaji wa maandiko ya miradi mbalimbali ya maendeleo (Project Proposal).

•    Kusimamia Uandaaji wa mpango wa utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi kila mwaka.

•     Kusimamia uandaaji wa Mpangokazi (Action Plans) ya bajeti kila mwaka

•     Kuratibu maandalizi ya Sera na Mpango Mkakati wa Halmashauri.

SEHEMU YA USIMAMIZI, UFUATILIAJI NA TATHMINI YA MIRADI YA MAENDELEO.

Majukumu ya sehemu hii yapo kama ifuatavyo:-

•    Kufanya ufuatiliaji na Usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

•    Kuandaa taarifa za Miradi ya maendeleo ya Halmashauri kila robo mwaka

•    Kuandaa mapitio ya bajeti ya kila mwaka baada ya kipindi cha nusu mwaka

SEHEMU YA TAKWIMU.

Sehemu hii hushughulikia masuala yanayohusu takwimu mbalimbali za kiuchumi na kijamii pamoja na kuratibu shughuli za utafiti kama ifuatavyo:-

•    Kuratibu na kusimamia benki ya Takwimu ya Halmashauri.

•    Kuhuisha na kuboresha Takwimu za Kiuchumi na Kijamii (Social-economic       Profile) ya Halmashauri.

•    Kuratibu na kuhifadhi takwimu za Idadi ya watu za Halmashauri kwa kutumia rejista za wakazi wa Mitaa.

•    Kufanya tathmini  ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Halmashauri.



Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki