• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

NINI THAMANI YA KAULI MBIU YA NANE NANE KWA MWAKA 2017 KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI MANISPAA YA KINONDONI.?

Posted on: August 2nd, 2017


 Kauli mbiu ya Maonesho ya Nane nane kwa mwaka 2017  inasema "Zalisha kwa tija mazao na bidhaa za Kilimo, mifugo, na uvuvi ili kufikia uchumi wa Kati. "

 Kuzalisha kwa tija maana yake ni kuzalisha kwa faida ukitumia eneo dogo,na mbinu za kisasa za Kilimo, gharama nafuu na kupata mazao mengi na yenye afya. 

 Unachotakiwa ni kuhakikisha unapata mbegu bora za mbogamboga na maandalizi mazuri ya kitalu ili kupata miche yenye afya. 

  Mf unataka kufanya kilimo cha mbogamboga ,hatua muhimu ya kwanza ni kuhakikisha unaandaa kitalu chako ,panda miche ikishachipua, ihamishie kwenye tuta kwa kufuata kanuni bora za Kilimo ambazo ni :kuweka mbolea ya kutosha ,nafasi kati ya mche na mche, palizi kwa wakati, na kutumia dawa unapoona dalili yeyote ya wadudu.

 Hali kadhalika unatakiwa kupunguzia matawi ambayo hayaitajiki, kumwagilia kwa wakati na maji ya kutosha.

 Thamani imeonekana kwa kuwa katika banda la Manispaa ya Kinondoni unakutana na wataalamu mbalimbali wa Kilimo na Mifugo. 

 Wataalamu hawa wanakueleza hatua kwa hatua jinsi ya kuandaa bustani yako eneo lako la nyumbani au popote pale, jinsi ya kutumia njia bora za kilimo, ukapata faida kubwa kwa muda mchache na kwa kutumia gharama nafuu Sana.

 Tembela banda letu la Kinondoni uelimike, ukutane na mtaalamu wa kuandaa eneo kwa ajili ya bustani ya mbogamboga Bi. Lucresia Tarimo. 

 Imetolewa na
 Kitengo cha Uhusiano
 Manispaa ya Kinondoni.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki