• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Nawezaje Kupata Kadi ya msamaha wa Matibabu

KADI YA MSAMAHA WA MATIBABU MANISPAA YA KINONDONI.

Kadi ya Msamaha wa Matibabu hutolewa kwa wazee kuanzia umri wa Miaka 60.

Mzee huyu lazima awe Mkazi wa Manispaa ya Kinondoni.

Kadi hii hutolewa bure, hakuna malipo yeyote.

UTARATIBU WA KUPATA KADI YA MSAMAHA.

•    Muhusika anatakiwa kupata barua ya utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa wake anakoishi.

•    Barua hiyo ya utambulisho iambatishwe na Picha ya pass port moja.

•    Baada ya kukamilisha taratibu hiyo, Muhusika afike ofisiza Mganga Mkuu wa Manispaa zilizopo Mkabala na Kituo cha Afya cha Magomeni(Barabara ya Kawawa na Morogoro), kwa ajili ya kupiga Picha itakayotumika kwenye Kadi yako , pamoja na kupewa taratibu nyingine na tarehe ya kuchukua kadi yako .

KADI YA MSAMAHA INATUMIWAJE

Kadi hii hutumika kwenye vituo vya  Afya, Zahanati pamoja na hospital zilizopo Manispaa ya Kinondoni.

Mtumiaji atatakiwa kufuata taratibu zifuatazo pindi atakapokuwa na uhitaji wa kupata matibabu.

Kwanza anatakiwa kuanzia Zahanatiiliyopo karibu nae kwa ajili ya kupata huduma,itakapoonekana kunauhitaji wa uangalizi mwingine na matibabu mengine Muhusika atatakiwa kupewa barua ili aweze kwenda Kituo cha AFya kwa matibabu.

Kadi hii itatumika kwenye Hospital ya Mwananyamala endapo tu huduma anazotakiwa kuzipata mgonjwa zimeshindikana kwenye Zahanati na vituo vya Afya, na Mgonjwa huyu atatakiwa  kupewa barua ya kumuelekeza kwenda hospital hiyo yaani(Referral letter).kwa ajili ya matibabu zaidi.




Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki