• Malalamiko |
    • Anuani zetu |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Barua pepe |
Kinondoni Municipal Council
Kinondoni Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Municipal Profile
  • Utawala
    • Idara
      • Human Resources
      • AFYA NA USAFISHAJI
      • Urban planning and Land Development
      • KILIMO NA MIFUGO
      • Secondary Education
      • Pre and Primary Education
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na takwimu
      • Community Development
    • Vitengo
      • sheria
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Tehama
    • Kata
      • Kinondoni
      • Magomeni
      • Makumbusho
      • Mwananyamala
      • Kijitonyama
      • Wazo
      • Bunju
      • Mbezi juu
      • Ndugumbi
      • Msasani
      • Kawe
      • Mzimuni
      • Mabwepande
      • Tandale
      • Kigogo
      • Mikocheni
      • Hananasif
      • Kunduchi
      • Makongo
      • Mbweni
    • Muundo wa utawala
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Biashara
    • Education
    • Afya
    • Maji naUsafishaji
    • entrepreneur and Soft Loan
    • Agricultural Consultancy
    • livestock keeping advice
    • Tax collection Centers
  • Madiwani
    • Baraza la madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyomalizika
  • Machapisho
    • Makala
    • Mpango mkakati
    • Miongozo
    • Fomu
    • Taarifa
    • Vipeperushi
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha jongefu

Community Development


  1. FOMU YA USAJILI-Maendeleo ya jamii.pdf
  2. MUUNDO WA KATIBA-maendeleo ya jamii.pdf

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Idara ya Maendeleo ya jamii inajumuisha vitengo viwilii ambavyo ni Maendeleo ya Jamii na Vijana.

MAJUKUMU YA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII.

  • Kuhakikisha kunakuwepo na ushiriki wa kutosha wa wadau wote wa Maendeleo katika kutekeleza program mbalimbali za Maendeleo ya Jamii.
  • Kuamsha ari ya Jamii kushiriki katika kupanga, kuamua, kutekeleza na kuchangia maendeleo yao kwa kutumia fursa na rasilimali zilizopo.
  • Kuhakikisha kunakuwepo  ushirikishwaji wa kutosha wa wananchi katika program mbalimbali za Kitaifa zenye msukumo wa Maendeleo.
  • Kuwezesha makundi mbalimbali katika jamii kama watoto, vijana, na wanawake kupata fursa ya kutoa mawazo yao katika kujadili changamoto za maendeleo zinazogusa mahitaji ya makundi yao na jamii kwa ujumla.
  • Kuwezesha jamii kujiajiri kwa kuunda vikundi vya kiuchumi ili kuweza kukuza mitaji, kuweka akiba, kuinua kipato cha familia na hatimae jamii kujijengea uwezo wa kuchangia katika shughuli za maendeleo.
  • Kuelimisha jamii kulinda na kuendeleza mila na desturi zenye kujenga maadili bora ya jamii ili hatimae jamii iweze kutambua na kuachana na mila na desturi potofu.
  • Ukusanyaji Muhimu wa Takwimu za jamii.
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za maendeleo zinazotekelezwa na mashirika yasiyo ya Kiserikali.(NGO’s).
  • Kuwezesha Mchakato wa usajili wa Mashirikia yasiyo ya Kiserikali kwa kukagua na kutoa maelekezo yanayokidhi zifa za usajili.

HIV/AIDS PROGRAMME

  • Mafunzo ya VICOBA kwa watu wanaoishi na virus vya UKIMWI(WAVIU)
  • Kuhakikisha tathmini ya hali halisi ya VVU na UKIMWI katika Halmashauri inafanyika na kuweka mikakati ya Kila mwaka.
  • Kuhamasisha kuunda
  • Kutoa taarifa za shughuli za VVU na UKIMWI kwenye kikao cha Baraza la Madiwani(Full Council)/
  • Kupitiaa taarifa za uratibu zinazofanywa na Kata na Mitaa ili kutoa ushauri wa namna ya kuimarisha na kuongeza ufanisi.
  • Kuratibu, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa shughuli za VVU na UKIMWI zilizopangwa.
  • Kutambua na kutathmini shughuli za wadau mbalimbali wanaotekeleza afua za VVU, na UKIMWI katika Halmashauri. Vikundi vya WAVIUna wajane.
  • Kuhakikisha mipango yote ya UKIMWI na wadau wanaotekeleza  Katika Halmashauri inaingizwa kwenye Mpango Mkakati wa UKIMWI wa Halmashauri na Mkoa ili kuondoa urudufu wa juhudi na rasilimali.
  • Kuhakikisha sera, Mkakati wa Taifa wa kudhibiti UKIMWI, sheria, Miongozo na matokeo ya tafiti mbalimbali ya masuala ya UKIMWI yanawafikia wadau na wananchi kwa ujumla.
  • Kutoa ushauri kwa ngazi inayohusika kuhusu Sera au sheria ndogo juu ya udhibiti wa VVU na UKIMWI.
  • Kuhakikisha uwepo wa orodha ya wadau hai wa Masuala ya UKIMWI.

JUMLA YA MIRADI ILIYOTEKELEZWA NA TASAF II KUANZIA 2005-2010.

NA
AINA YA MIRADI
IDADI
WATOA FEDHA
1
HUDUMA ZA JAMII(SP)
55
TASAF
2
UZALISHAJI MALI KWA MAKUNDI MAALUM(VG)
24
TASAF
3
KUJENGA UWEZO WA JAMII KUWA NA TABIA YA KUWEKA AKIBA NA KUWEKEZA(COMSIP)
20

4
MFUKO WA VIJIJI VYA PWANI(CVF)
38
MACEMP
5
MWITIKIO WA  JAMII DHIDI YA UKIMWI(MJADU)
18
TACAIDS.

Jedwali hili huonesha fedha zilizopokelewa kutoka TASAF Makao  Makuu kwa kwa ajili ya kunusuru Kaya Maskini kwa kipindi cha Julai 2015 hadi Februari 2017.                                                                                       

FEDHA ZILIZOPELEKWA TOKA TASAF MAKAO MAKUU

(Kunusuru Kaya Maskini)KIPINDI CHA JULAI 2015-FEBRUARI 2017

S/N
IDADI YA WALENGWA
KIASI CHA FEDHA KILICHOPOKELEWA
AWAMU
1
8971
426,357,000.00
July –August 2015
2
8971
432,409,131.00
September-October      2015
3
8971
490,131,000.00
November-December 2015
4
8970
427,207,500.00
January-February 2016
5
8970
427,198,500.00
March-April 2016
6
8625
425,214,000.00
Mei-June 2016
7
8500
398,272,722.27
July-August 2016
8
7011
318,843,000.00
September-October 2016
9
7011
326,632,500.00
November-December 2016
10
6731
270,072,000.00
January-February 2017

DAWATI LA MAAFA

  • Kuratibu shughuli za Maafa ngazi ya Manispaa na kushauri hatua za kuzuia,kujiandaa,kukabili na kurudisha hali.
  • Kutambua maafa yanayoathiri Manispaa.
  • Kushiriki katika Tafiti mbalimbali zinazohusu maswala ya Maafa,zikiwemo tathmini za  hali ya chakula katika Manispaa na wadau wengine.
  • Kutoa elimu kwa Umma juu ya masuala ya Afya.
  • Kuwa kiungo (bridge) kati Mkoa na Mamlaka nyingine kuhusu masuala ya Maafa.
  • Kushiriki vikao vya Kamati ya Maafa vya Manispaa.
  • Kuwasilisha taarifa za Maafa kwa Mamlaka nyingine (OWMN, TAMISEMI,SEKTA  n.k)

MRATIBU WA VIKUNDI VYA UCHUMI VYA WANAWAKE NA VIJANA.

  • Kupunguza umaskini ka ti ya vijana na wanawake wanaoishi katika mazingira hayo.
  • Kukuza vikundi vya ujasiriamali
  • Kuumba ajira kwa wanawake na vijana
  • Kutoa mikopo nafuu kwa wanawake na vijana.

WANAWAKE NA VIJANA

  • Kuwawezesha wanawake na vijana kupata mikopo kupitia mfuka wa wanawake na vijana.
  • Kuweza kutenga Fedha kwa ajili ya mfuko wa wanawake na vijana jumla ya Tsh 4,516,351,148 zimetengwa na kunufaisha wanawake na vijana.
  • Kuwezesha watu 11,613 kujiajiri ambapi wanawake ni 8,757 na vijana ni 1,270 walemavu 326, na watu wengine binafsi ni 1,250. Waliweza kupata mikopo ya Masharti.
  • Kuwezesha vikundi 16 vya akina mama wajasiriamali kushiriki maonesho ya Kimataifa yanayofanyika kila mwaka katika nchi za Africa.

HUDUMA   ZITOLEWAZO NA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA VIJANA.

 JINSI ZINAVYOPATIKANA.

  • Cheti za Utambuzi wa Vikundi.
  • Taratibu za usajili wa NGO’S na utambulisho wa NGO’S.
  • Vipengele Muhimu katika uandaaji wa Katiba
  • Kupokea wanafunzi wa Field (Mafunzo kwa vitendo)
  • Fomu mbalimbali anazopewa Mwananchi kujaza anapotaka huduma.
  • Usajili wa vikundi.

Matangazo

  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 14/08/2019. August 13, 2019
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI SIKU YA JUMATANO TAREHE 22/05/2019. May 20, 2019
  • TAARIFA KWA UMMA October 16, 2019
  • TANGAZO October 16, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI KINONDONI LAPITISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    January 07, 2021
  • NI KINONDONI TENA UFAULU WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2020 MKOA WA DAR ES SALAAM

    December 24, 2020
  • NAIBU WAZIRI-OFISI YA WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA NAMNA KINONDONI INAVYOWEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

    December 22, 2020
  • HOSPITALI YA SANITAS YAPEWA SIKU SABA KUKAMILISHA MALIMBIKIZO YA MISHAHARA YA WATUMISHI WAKE

    December 22, 2020
  • Tazama zote

Picha Jongefu

TAMISEMI YAIPOGEZA KINONDONI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ilala Municipal website
  • Ubungo Municipal Council
  • Kigamboni Municipal
  • Temeke Municipal

Viunganishi Linganifu

  • TAMISEMI
  • eGoverment Agency
  • Manispaa ya Kinondoni yaongoza katika Makusanyo kufikia Dec.12,2017, 2017.
  • TUME YA UTUMISHI.Tangazo la nafasi za Kazi.

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Anuani zetu

    Dar es salaam, Tanzania

    Postal Address: P.O.BOX 31902 ,2Morogoro Road

    Namba za simu: +255 22 2170173

    Namba ya simu :

    Barua pepe: md@kinondonimc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Service

Hatimiliki